Umewahi kupitia msoto maishani hadi ukajuta kuzaliwa?

Umewahi kupitia msoto maishani hadi ukajuta kuzaliwa?

Oscar Lyrics

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
2,732
Reaction score
4,651
Umasikini ni kitu kibaya sana,

-Utadharauliwa

-Utasimangwa hata na watu wako wa karibu

-Utaaibishwa na kudhihakiwa

-Hakuna atakaekujali kwa sababu huna kitu

-Kwenye vikao vya ukoo huwezi kuwa na sauti, ukiongea utaonekana unataka kuleta fujo

In short ndugu zanguni tutafute pesa kama vile tumezipoteza, ipo siku milango ya baraka itafunguka na heshima yako itarejea kama kawaida.

Nb. Mungu ni wetu sote.
360_F_352099607_TaxlVn071NXtHGqC21V2ZVo1JhojS24l.jpg
 
Kwakwel Kila mtu atamwaga machoz Kwa namna yake
Kuna mtu km mm umaskin wakuniliza Sina,ila nilipigwa matukio ata sikuona Kaz ya pesa zote nilizonazo mm na familia yangu yote,Toka hapo Hadi kesho nmekua mtu wakuigiza furaha tuu ila furaha halisi haipo,nmekua wakulia na sijui km nitakuja sahau au nitalia daiama ad nakufa.
 
Ndo wakati ninaopitia kwa sasa, Tangu mwaka huu umeanza niko vibaya kiuchumi hadi nahatarisha ustawi wa familia yangu, sina kazi, sina hela, sina furaha wala amani, umasikini umebisha hodi mlangoni kwangu
Sometimes najuta kwa nini nilizaliwa, sijui natokaje kwenye hili dimbwi la umasikini
 
Ndo wakati ninaopitia kwa sasa, Tangu mwaka huu umeanza niko vibaya kiuchumi hadi nahatarisha ustawi wa familia yangu, sina kazi, sina hela, sina furaha wala amani, umasikini umebisha hodi mlangoni kwangu
Sometimes najuta kwa nini nilizaliwa, sijui natokaje kwenye hili dimbwi la umasikini
Pole sana mkuu, usithubutu kukata tamaa, Mungu yu pamoja nawe, iko siku atakupa hitaji la moyo wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom