Umewahi kuishi na watu wa aina hii?

Umewahi kuishi na watu wa aina hii?

Ww ulitaka kumjua ili nn!? Alikua me au ke
 
Watu wanashughuli zao bhana. Suala la kujifanya kujuana kiundan ya nn?

Binadamu sisi ni wanafki sana, hasa nyumba za kupanga kunawatu kazi yao ni kujadili maisha ya watu.
 
Hivi huwa mnaboeka eeeh?
Yaani watu bwana anataka ajue kuamka na kulala kwako,
Kula na kunya kwako yaani siyo siri naghafirika sana.
Halafu labda hili ndo lilisababisha nikapewa notes.
HAKUNA UMUHIMU WA KUJUANA UNDANI.
KUJUANA SANA MWANZO WA KUHARIBIANA CV.
 
aah hiyo ni kawaida tu na misimamo ya mtu, kwa mfano mimi nilipanga nyumba moja hivi kwa muda wa miaka minne lakin sikuwahi kukaa barazan kupiga stori na watu, sasa watu wakawa wanasema naringa jambo ambalo si kweli, mpaka nikahama baada ya miaka miwili kupita faza house akafariki nikaenda na siku hiyo bdo nikakaa barazani ! sasa ikawa mi mada mbona leo amekaa barazan! so no mtu tu anavyoamini katika kuishi na watu aishi vipi na ajichanganye vipi!
 
Nilitamani hiyo life style nadhani ndo muda wa kuiishi nao binadamu watu wa ajabu sana
ngoja tu niwadediketie "kigeugeu" by jaguar
hata ninaowaamini ni vigeugeu tu
 
Sijaona tatizo ikiwa alikuwa anatoa msaada na yeye anaomba kusaidiwa..hayo mengine ni wasiwasi wako kwa vile hamja 'match' katika swala zima la 'kufatiliana'.

Watu wa hivyo unaishi nao kawaida tu. Ni tabia ya mtu,sidhani kama ipo namna ya kubadilisha.
 
Watu wanashughuli zao bhana. Suala la kujifanya kujuana kiundan ya nn?

Binadamu sisi ni wanafki sana, hasa nyumba za kupanga kunawatu kazi yao ni kujadili maisha ya watu.

upo sahihi wala hujakosea
 
maisha kama hayo ndio na yapenda yann kujuwana maana hapo ya tazariwa majungu tu
 
Hayo ndiyo maisha niyatakayo tounane kwenye issue za muhimu tu

,,,na huyo jamaa anajitambua, hakutaka kushikiwa akili,,,
 
Mi ndo navyoishi. nikitoka kibaruani njifungia ndani sina habariii...mambo ya kufuatana kama mikia sinagaa...
 
Hao ni wenzetu wa kitengo,ukiona hvyo kutakua kuna mision alikua anaifuatilia eneo hilo,sasa ameikamilisha hivyo ameamua kuabandon hayo makazi yake,au amehisi kuna watu wameanza kumshtukia issue zake.
 
Back
Top Bottom