Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,824
- 5,812
Unafiki ni pale mtu anasema kitu fulani lakini unatambua ni uongo sababu unamjua kiundani.Yaani nimeshangaaa
Tena unafiki haswaa
Kwa definition ya unafiki mimi sio mnafiki sababu nilichoandika ni mimi kabisa.
And hey girl for sure haunijui lakini kiuhalisia mimi ni mtu safi sana na siku zote nasema ukweli bila kuyumba except muda mwingine unaweza sema ukweli mchungu ambao unamuumiza mtu pakubwa na mimi sipendi kuumiza watu especially watu ambao bado hawajakua kiasi cha kutosha na akili zao kupevuka wala kujua wanachokifanya, sababu hawachelewi kuchukua maamuzi magumu.
Mnafiki ni yule anayeficha ukweli ili kujiridhisha na kujifariji, lakini siku zote ukweli utabaki palepale.