Umewahi chezea bahati ya kula mbususu kizembe?

Umewahi chezea bahati ya kula mbususu kizembe?

Huyu bro

Senior Member
Joined
Jan 8, 2023
Posts
119
Reaction score
171
Miaka fulani hivi nyuma mimi na jamaa zangu watatu tulijijengea akili ya kuogopa sana ngoma, yaani ilikua tukipiga story za mapenzi tunaongelea ngoma tu all the time hiyo ikafanya kila mwanamke tukimuona tuhisi kama ni HIV+.

Hiyo ilipelekea kukosa kula mbususu kizembe kwa mtoto mmoja aliyekua anatoka chuga kuja shule mkoa mmojawapo nyanda za juu kusini, akiwa kwenye gari tulikua tukiwasiliana kawaida tu lakini ilivyofika saa tatu akaniambia anadhani atachelewa sana kufika na sehemu gari ingemshusha mpaka shule ni mbali kiasi nikamwambia usiogope utapata boda mvua ilikua inanyesha hiyo siku mi nikalala mpaka saa 7 usiku simu inaita kucheki ni yeye akaniambia anakaribia sehemu ya kushukia na hiyo sehemu na ghetto kwangu sio mbali na kulikua na kimvua basi nikasema ngoja nije stend nikusaidie kutafuta boda....nikafika stend nikasubiri kama dakika 10 bus likafika binti akashuka na vi mizigo baadhi.

Kimasihara nikamwambia hii mizigo na hii mvua tena kwa bodaboda mbona utaloa kwanini usilale kwangu, akaniambia sitakua comfortable niliwish nimalize safari now nipumzike mpaka kesho mchana, nikamwambia lakini situation unaiona basi akasema twende kwako, tukachukua boda ikatufikisha ghetto ni karibu tu toka stend kwa sababu ya mvua na mizigo ndo maana tukachukua boda.

Nikampashia maji akaoga kuhusu kula akaomba chai tu nikampashia akanywa muda wa kulala nikamwambia utalala kitandani mimi nitalala kwenye sofa, kweli akalala kitandani but mm usingizi ukawa haupo kabisa nawaza nimege au niache ile mindset ya ngoma ndo ikawa inazunguka kichwani mwangu na hofu ilizidi kwa sababu binti alikua na viupele kidogo tu hivyo nikawa najudge vile viupele si inaweza kuwa ngoma hii, mwisho wa siku nikalala kukakucha mpaka mida ya saa nne binti anaondoka nikiwa sijafanya chochote na nafasi ile kamwe haitajirudia na ninaijutia ile nafasi ya kukusa mbususu kizembe mpaka sasa.

Tuambie wewe ulikosaje mbususu kizembe.


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Miaka fulani hivi nyuma mimi na jamaa zangu watatu tulijijengea akili ya kuogopa sana ngoma, yaani ilikua tukipiga story za mapenzi tunaongelea ngoma tu all the time hiyo ikafanya kila mwanamke tukimuona tuhisi kama ni HIV+.

Hiyo ilipelekea kukosa kula mbususu kizembe kwa mtoto mmoja aliyekua anatoka chuga kuja shule mkoa mmojawapo nyanda za juu kusini, akiwa kwenye gari tulikua tukiwasiliana kawaida tu lakini ilivyofika saa tatu akaniambia anadhani atachelewa sana kufika na sehemu gari ingemshusha mpaka shule ni mbali kiasi nikamwambia usiogope utapata boda mvua ilikua inanyesha hiyo siku mi nikalala mpaka saa 7 usiku simu inaita kucheki ni yeye akaniambia anakaribia sehemu ya kushukia na hiyo sehemu na ghetto kwangu sio mbali na kulikua na kimvua basi nikasema ngoja nije stend nikusaidie kutafuta boda....nikafika stend nikasubiri kama dakika 10 bus likafika binti akashuka na vi mizigo baadhi.

Kimasihara nikamwambia hii mizigo na hii mvua tena kwa bodaboda mbona utaloa kwanini usilale kwangu, akaniambia sitakua comfortable niliwish nimalize safari now nipumzike mpaka kesho mchana, nikamwambia lakini situation unaiona basi akasema twende kwako, tukachukua boda ikatufikisha ghetto ni karibu tu toka stend kwa sababu ya mvua na mizigo ndo maana tukachukua boda.

Nikampashia maji akaoga kuhusu kula akaomba chai tu nikampashia akanywa muda wa kulala nikamwambia utalala kitandani mimi nitalala kwenye sofa, kweli akalala kitandani but mm usingizi ukawa haupo kabisa nawaza nimege au niache ile mindset ya ngoma ndo ikawa inazunguka kichwani mwangu na hofu ilizidi kwa sababu binti alikua na viupele kidogo tu hivyo nikawa najudge vile viupele si inaweza kuwa ngoma hii, mwisho wa siku nikalala kukakucha mpaka mida ya saa nne binti anaondoka nikiwa sijafanya chochote na nafasi ile kamwe haitajirudia na ninaijutia ile nafasi ya kukusa mbususu kizembe mpaka sasa.

Tuambie wewe ulikosaje mbususu kizembe.


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hii ni kinyume ya kula tunda kimasihara au
 
Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa katika hospital yetu ya crazy for life.

Ambapo alitoroka jana na kuiba simu ya ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.

Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni.

Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital
FB_IMG_16664248584906725.jpg
 
Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa katika hospital yetu ya crazy for life.

Ambapo alitoroka jana na kuiba simu ya ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.

Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni.

Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospitalView attachment 2474364
Sawa warren

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Miaka fulani hivi nyuma mimi na jamaa zangu watatu tulijijengea akili ya kuogopa sana ngoma, yaani ilikua tukipiga story za mapenzi tunaongelea ngoma tu all the time hiyo ikafanya kila mwanamke tukimuona tuhisi kama ni HIV+.

Hiyo ilipelekea kukosa kula mbususu kizembe kwa mtoto mmoja aliyekua anatoka chuga kuja shule mkoa mmojawapo nyanda za juu kusini, akiwa kwenye gari tulikua tukiwasiliana kawaida tu lakini ilivyofika saa tatu akaniambia anadhani atachelewa sana kufika na sehemu gari ingemshusha mpaka shule ni mbali kiasi nikamwambia usiogope utapata boda mvua ilikua inanyesha hiyo siku mi nikalala mpaka saa 7 usiku simu inaita kucheki ni yeye akaniambia anakaribia sehemu ya kushukia na hiyo sehemu na ghetto kwangu sio mbali na kulikua na kimvua basi nikasema ngoja nije stend nikusaidie kutafuta boda....nikafika stend nikasubiri kama dakika 10 bus likafika binti akashuka na vi mizigo baadhi.

Kimasihara nikamwambia hii mizigo na hii mvua tena kwa bodaboda mbona utaloa kwanini usilale kwangu, akaniambia sitakua comfortable niliwish nimalize safari now nipumzike mpaka kesho mchana, nikamwambia lakini situation unaiona basi akasema twende kwako, tukachukua boda ikatufikisha ghetto ni karibu tu toka stend kwa sababu ya mvua na mizigo ndo maana tukachukua boda.

Nikampashia maji akaoga kuhusu kula akaomba chai tu nikampashia akanywa muda wa kulala nikamwambia utalala kitandani mimi nitalala kwenye sofa, kweli akalala kitandani but mm usingizi ukawa haupo kabisa nawaza nimege au niache ile mindset ya ngoma ndo ikawa inazunguka kichwani mwangu na hofu ilizidi kwa sababu binti alikua na viupele kidogo tu hivyo nikawa najudge vile viupele si inaweza kuwa ngoma hii, mwisho wa siku nikalala kukakucha mpaka mida ya saa nne binti anaondoka nikiwa sijafanya chochote na nafasi ile kamwe haitajirudia na ninaijutia ile nafasi ya kukusa mbususu kizembe mpaka sasa.

Tuambie wewe ulikosaje mbususu kizembe.


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Well
 
Imenitokea mara 2 mbona nalala na mwanamme bila kunyanduana, mara ya kwanza tulikuwa safarini tukafika Nzega usiku bus linaenda Tabora na sisi tunaenda Mwanza hamna bus la kutufaulisha, hivyo tukachukua chumba kimoja, nilikuwa bado bikra nikamkatalia tukalala hadi asubuhi,mara ya mwisho ni hivi juzi tu huyu tunaitana kaka wa kushibana tumeenda Dom kwenye Graduation pale UDOM, Ila nahisi hakulala maana kulala mzungu wa4 so utani, mie mwenyewe nilihisi nyege zinatekenya

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Imenitokea mara 2 mbona nalala na mwanamme bila kunyanduana, mara ya kwanza tulikuwa safarini tukafika Nzega usiku bus linaenda Tabora na sisi tunaenda Mwanza hamna bus la kutufaulisha, hivyo tukachukua chumba kimoja, nilikuwa bado bikra nikamkatalia tukalala hadi asubuhi,mara ya mwisho ni hivi juzi tu huyu tunaitana kaka wa kushibana tumeenda Dom kwenye Graduation pale UDOM, Ila nahisi hakulala maana kulala mzungu wa4 so utani, mie mwenyewe nilihisi nyege zinatekenya

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ila huyu kaka wa kushibana ndo alikuwa mzembe bhana

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom