Umevaaje

Umevaaje

Price

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
1,502
Reaction score
922
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?

Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?

Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
 
Hahahhaha....wat a day!!!!!...aya banaaaa binafsi mewaelewa sanaaaa..
 
looh ni hilo tu umechukia
sisi tunaambiwaga ndani ya nguo kuna nini??

EMBU ISHIKE ISALIMIE

ingekuwa wewe si ungepasua sim
Haaaa haaaaa haaaaa..... kha! mbona ningepasua simu nimtoe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom