Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,813
- 235,988
Najua wewe kaandujeKwanza mie mfupi, sina mwili wa mazoezi, sivai smart...ila nampenda alivyo na uzee wake namfata nyuma taratibu 🤣
Raba mtoni au sio 😶
Hebu tupia basi tuone huo ufupi 😜😜Kwanza mie mfupi, sina mwili wa mazoezi, sivai smart...ila nampenda alivyo na uzee wake namfata nyuma taratibu 🤣
Mimi sio andunje, ila sio mrefu pia. Yaani nikisimama kwenye daladala naona kabisa sio andunje. 🤣Najua wewe kaanduje
Kuvaa hapa umenipiga
Mie nampenda jamaa mambo yake ya kikomando tu yaani
Chuma kwa sana.
Wewe upo sawa na hako katoto alikokabeba.
Njoo kwa hapa hivi utaniona, kafupi hivi nimevaa raba mtoni na tisheti nyeupe🤣Hebu tupia basi tuone huo ufupi 😜😜
Nitumie ulivyovaa basi ili nisikupoteeeNjoo kwa hapa hivi utaniona, kafupi hivi nimevaa raba mtoni na tisheti nyeupe🤣
Kwa wanaume we mfupi Bwana [emoji23]Mimi sio andunje, ila sio mrefu pia. Yaani nikisimama kwenye daladala naona kabisa sio andunje. [emoji1787]
Niko frsh pia kwa nguvu ya tano👊Yes yes, sijui wewe
We umeniona wapi hadi useme mie mfupi? Kwa hiyo daladala wanapanda wanafunzi tu sie baba zao tunapanda nini?Kwa wanaume we mfupi Bwana [emoji23]
Labda kama unajilinganisha na sisi dada zako.
Kwahiyo huwa unajipima kwenye daladala na watoto wa shule?
Mengine yote umetupiga bwana,six pack mwili wa Shwazerneger kabisa
Kuvaa smart sana,mara mojamoja kitozi ni nyuzi zenu arsenyau[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhKwa wanaume we mfupi Bwana [emoji23]
Labda kama unajilinganisha na sisi dada zako.
Kwahiyo huwa unajipima kwenye daladala na watoto wa shule?
Mengine yote umetupiga bwana,six pack mwili wa Shwazerneger kabisa
Kuvaa smart sana,mara mojamoja kitozi ni nyuzi zenu arsenyau[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shouuzz khaaa
Cousin mamboo
Poa kipenzi za wewe!Cousin mamboo
Nitizame basi hapo nakusubiri sheli hapa.Nitumie ulivyovaa basi ili nisikupoteee
Anhh subutu huyu namjua sio weweNitizame basi hapo nakusubiri sheli hapa.
Shwari kumekuchaaPoa kipenzi za wewe!
Kama unamjua huyu basi unanijua🤣kumbe mie famous eenh!!Anhh subutu huyu namjua sio wewe
Yeah All is okay mamyShwari kumekuchaa
😂😂😂😂😂We umeniona wapi hadi useme mie mfupi? Kwa hiyo daladala wanapanda wanafunzi tu sie baba zao tunapanda nini?
Six pack naitoa wapi wakati sifanyi mazoezi, nipo na one big pack hapa sina shida na mtu🤣🤣🤣