Muddy hapo mwisho wa tai hapo π
πππ Wewe tatizo mchumba anapatikana vizuri, anakuuliza unaishi wapi? Unamjibu Tegeta nyuki!Ina maana mimi hunikumbuki kabisa
Wewe subiri zamu yako subiri kwanza siisi hapa tuanze siti za mbele wewe wa siti za nyuma subiri kwanza π€ͺIna maana mimi hunikumbuki kabisa
Mwambie Mchumba afike PM tuanze mazungumzo ya awali ππ€ͺNimekuita uchague mchumba uache kusumbua πππ
Mpaka apo nimegundua wewe & Ms eyes mnataka mtoto wa mwanamke mwenzenu nife kwa ugwadu π€£πππ Wewe tatizo mchumba anapatikana vizuri, anakuuliza unaishi wapi? Unamjibu Tegeta nyuki!
Akiomba pesa unaanza kusema ooh! Niko abroad narudi uko karibu na Christmas π€£π€£π€£
[emoji102][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Limeisha anko, subiri warembo waje hapa!!
π€£π€£π€£Limeisha anko, subiri warembo waje hapa!!
Nyie π£Divaβs na slay queenβs kuna big daddie kapatikana! Boss la jf njooni mjifotoe π€£π€£π€£π€£
Tena mganga kula vikuku vya dawa uhakika
Ohoooiπ€£π€£π€£[emoji102]
Tupia mishepu hiyo ila waambie wewe tayari jimbo limeshachukuliwa[emoji1787][emoji1787]Ohoooi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona wazungu, nimecheka kwa sauti [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jf ya kimataifa kuna hadi wazungu humu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Haya ila usije kuanza kusema, βhakuna twende kilioni za lakiβ πππMwambie Mchumba afike PM tuanze mazungumzo ya awali ππ€ͺ
Wewe mwambie afike PM hio laki si ni vocha ya siku moja tu ππ€ͺHaya ila usije kuanza kusema, βhakuna twende kilioni za lakiβ πππ
Nitafutie wa kummwagia minoti sasa tajiriii, maisha ndo hayahayaπππ Tajiri chana pochi