Umetenda maajabu, siwezi kueleza!!!


....Mkuu MM mie sina ugonjwa wa aina yoyote ile namshukuru Mungu sana kwa hilo na wala sikupinga kwamba kwamba mkojo hautibu maradhi au kudai kama una madhara ya aina yoyote ile.
Sawa pamoja na wewe haumwi kitu lakini waweza kufanya ( Experiment) majaribio tu kwa kunywa mkojo wako. Si vibaya kujaribu mkuu kuona taste yake ukoje?
 
Sawa pamoja na wewe haumwi kitu lakini waweza kufanya ( Experiment) majaribio tu kwa kunywa mkojo wako. Si vibaya kujaribu mkuu kuona taste yake ukoje?


Mhhhh!!!! MM naona umenikamia leo :):):) kalale sasa usiku umeshakuwa mwingi hahahahah lol!
 
Ukitaka kunywa mkojo wako kwa raha bila shida jaribu kuukinga halafu uuweke ktk jokofu upate baridi.
Angalizo: Usitumie mkojo uliolala overnight au uliochacha!
Mkuu Distazo unaharibu sasa wewe hii Topic ukisha weka katika jokofu huo mkojo utakuwa umesha haribika haufai kuwa dawa unatakiwa ukiutowa kwenye naniihi Penis yako uunywe bado upo fresh sio kuuweka kwenye moto
 
....Hongera zako Mkuu....Ila napiga picha kichwani ulivyokuwa ukiukinga mkojo wako sijui kwenye glass au kikombe....halafu ukiupeleka kinywani na kuanza kugombana na ladha yake ambayo sidhani kama inapendeza mdomoni.

Mkuu ni rahisi sana mkuu..ukianza utahisi harufu isiyofaa, lakini ufumbe macho na kuona kitu ya kawaida sana..hebu jiulize ni vingapi vichafu unaweza kula ukiwa katika maisha ya kawaida?? (mchicha na tembele toka bonde la msimbazi, etc) lakini ona wakati mwaingine unalazimika kulamba mkojo wa mwenzio (Kwenda hata chumvini/Uvinza au kubugia uteute au mbegu za kike/kiume) vyote hivi ni toka nje ya mwili wako lakini kwa mkojo wako ni sehemu ya mwili wako na hauna madhara na upo safi kabisa japo unaitwa mabadaki (by-product). Kishindwa unaweza kuu dilute kidogo na maji...ila pia aina ya vyakjula unavyokula vinaweza kuufanya mkojo kuwa na hali au harufu gani pia...ukila vitu kama mbogamboga mkojo huwa hauna harufu kabisa na ukinywa maji mengi uendapo kulala utatoka mkojo mweupe sana.
 
Mie nina mwaswali kadhaa..
Vipi kama unaumwa UTI. ....AU Magonjwa mengine kama hayo?unaweza pona ukitumia mkojo huo?
Pili ni magonjwa gani mengine yanatibiwa kwa mkojo zaidi ya vidonda?je ugonjwa kam PID ??????????Unapona kwa mkojo?
 
Mkuu itabidi uwaeleze wewe wagonjwa hao wa Vidonda vya tumbo nakumbuka mimi niliwaambia Wanachama Wengine walinibishia mpaka wewe mwenyewe ulipo jaribu kutumia hiyo Dawa imekusaidia yaani kunywa huo mkojo wako mwenyewe unatibu maradhi mengi tu waliponibishia ni hii hapa bonyeza https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/26847-dawa-ya-vidonda-vya-tumbo.html

Mzee Mzizi Mkavu, shukrani sana..unajua wanadamu sio wote wanaweza kuamini kwa wakaiti mmoja na ndio maana wale walioenda hadi kwa Babu Samunge kila mmoja ukimuuliza kwa wakati wake kwa nini alienda unaweza kupata majibu tofauto..utofauti huu ndio unatyufanya kuwa wana wa Adamu, na pengine japo tunaamini katika kitu kimoja (uponyaji) lakini kila mmoja wetu anatumia njia yake kuufikia na ndio maana kuna makanisa mengi ya milengo tofauti ambayo yanaabudu kwa jina moja lakini staili ya kupingana...shukrani kwa ushauri ..MKOJO SI MCHEZO MKUU..HAUNA GHARAMA WALA MASHARTI MAZITO....HATA WALE WANAODAI HAWANA MAGOJWA WANAWEZA KUTUMIA TU KWA KUONDOA VINYEMELEZI VYA MWILI AMBAVYO VINAWEZA KUKUFANYAB KESHO UKATAFUA DAWA KULIKO MKOJO..

Unawze kuona pia ushuhuda huu wa wengine:
<span style="color:#0000cd;"><font size="3">

Ona India wanakunmywa Mkojo wa NG'OMBE kuongoa Maradhi mwilini..



 
Last edited by a moderator:
Dah.Naona wewe MM mgumu sana kuelewa...kwani wewe si umeisikiliza hiyo link sijimu tube?nambie...tatizo langu sina access ya kuweza sikiliza hiyo u tube sahizi...sio tatizo la uelewa kama unavodhani...
 
Mie nina mwaswali kadhaa..
Vipi kama unaumwa UTI. ....AU Magonjwa mengine kama hayo?unaweza pona ukitumia mkojo huo?
Pili ni magonjwa gani mengine yanatibiwa kwa mkojo zaidi ya vidonda?je ugonjwa kam PID ??????????Unapona kwa mkojo?
If you are being treated for PID …


Take all of the prescribed medicine. Even if the symptoms go away, the infection may still be in your body until the treatment is complete.
Take good care of yourself.

  • Rest in bed. You need several days of bed rest to treat a serious infection.
  • Drink lots of fluids, and eat a healthy diet.
  • Do not douche or use tampons.
  • You may take aspirin, ibuprofen (like Advil), or acetaminophen (like Tylenol) for pain. You may also put a heating pad on your stomach.
Tell your partner(s) that you have an infection. Any recent partner will need to get checked and get medicine — even if feeling fine. If your partner(s) are not treated for any possible infections, such as chlamydia or gonorrhea, you can get PID again.
Do not have sex until you and your partner(s) have finished all the medicine, have been examined, and know that treatment is complete.
Keep your medical appointments to be sure you are better.


[h=2]Complications of PID[/h]
If pelvic inflammatory disease goes untreated, it may result in serious, life-threatening complications. Infection can spread to the blood or to other parts of the body. PID can also result in the rupture of a fallopian tube.
Pelvic inflammatory disease also increases the risk of ectopic pregnancy, a potentially life-threatening condition in which a fertilized egg implants outside of the uterus, usually in a fallopian tube.
The signs of ectopic pregnancy include
  • irregular bleeding from the vagina
  • pain in the abdomen or tip of the shoulder
  • sudden weakness or fainting
If you think you may have an ectopic pregnancy and can't reach your health care provider, go to a hospital emergency room right away.


 
Nitajaribu na kuleta ripot hapa.Nadhani dawa ni nyingi sana.tatizo nyingine hazijulikani sana...
 
If you are being treated for PID &#8230;


Take all of the prescribed medicine. Even if the symptoms go away, the infection may still be in your body until the treatment is complete.
Take good care of yourself.

  • Rest in bed. You need several days of bed rest to treat a serious infection.
  • Drink lots of fluids, and eat a healthy diet.
  • Do not douche or use tampons.
  • You may take aspirin, ibuprofen (like Advil), or acetaminophen (like Tylenol) for pain. You may also put a heating pad on your stomach.
Tell your partner(s) that you have an infection. Any recent partner will need to get checked and get medicine - even if feeling fine. If your partner(s) are not treated for any possible infections, such as chlamydia or gonorrhea, you can get PID again.
Do not have sex until you and your partner(s) have finished all the medicine, have been examined, and know that treatment is complete.
Keep your medical appointments to be sure you are better.


Complications of PID


If pelvic inflammatory disease goes untreated, it may result in serious, life-threatening complications. Infection can spread to the blood or to other parts of the body. PID can also result in the rupture of a fallopian tube.
Pelvic inflammatory disease also increases the risk of ectopic pregnancy, a potentially life-threatening condition in which a fertilized egg implants outside of the uterus, usually in a fallopian tube.
The signs of ectopic pregnancy include
  • irregular bleeding from the vagina
  • pain in the abdomen or tip of the shoulder
  • sudden weakness or fainting
If you think you may have an ectopic pregnancy and can't reach your health care provider, go to a hospital emergency room right away.


Asante!
 
Mkojo ni dawa, zamani nikijikata kidole au nikijikwaa, basi nilkiuwa naingia chocho nakojolea pale kwenye jeraha, na ndio mwisho,no bandage wala plasta.
 
urinary_structures.jpg
Figure 1: Picture of the urinary tract structures

What is a urinary tract infection (UTI)?

The urinary tract is comprised of the kidneys, ureters, bladder, and urethra (see Figure 1). A urinary tract infection (UTI) is an

infection caused by pathogenic organisms (for example, bacteria, fungi, or parasites) in any of the structures that

comprise the urinary tract. However, this is the broad definition of urinary tract infections; many authors prefer to use more

specific terms that localize the urinary tract infection to the major structural segment involved such as urethritis(urethral

infection), cystitis(bladder infection), ureter infection, and pyelonephritis (kidney infection). Other structures that

eventually connect to or share close anatomic proximity to the urinary tract (for example, prostate, epididymis, and vagina)

are sometimes included in the discussion of UTIs because they may either cause or be caused by UTIs. Technically, they are not UTIs and will be only briefly mentioned in this

article.
UTIs are common, more common in women than men, leading to approximately 8.3 million doctor visits per year.

Although some infections go unnoticed, UTIs can cause problems that range from dysuria (pain and/or burning when

urinating) to organ damage and even death. The kidneys are the active organs that, during their average production of

about 1.5 quarts of urine per day, function to help keep electrolytes and fluids (for example, potassium, sodium, water) in balance, assist removal of waste products (urea), and

produce a hormone that aids to form red blood cells. If kidneys are injured or destroyed by infection, these vital functions can be damaged or lost.
While some investigators state that UTIs

are not transmitted from person to person, other investigators dispute this and say UTIs may be contagious and recommend

that sex partners avoid relations until the UTI has cleared.
There is no dispute about UTIs caused by sexually transmitted

disease
(STD) organisms; these infections (gonorrhea, chlamydia) are easily transmitted between sex partners and are very contagious.
 
What causes a UTI?

The most common causes of UTI infections (about 80%) are Escherichia coli bacterial strains that usually inhabit the colon. However, many other bacteria can occasionally cause an infection (for example, Klebsiella, Pseudomonas, Enterobacter, Proteus,Staphylococcus, Mycoplasma, Chlamydia, Serratia and Neisseria spp) but are far less frequent causes than E. coli.

In addition, fungi (Candida and Cryptococcus spp) and some parasites (Trichomonas, Schistosoma) also may cause UTIs; Schistosoma causes other problems, with bladder infections as only a part of its complicated infectious process. In the U.S., most infections are due to Gram-negative bacteria with E. coli causing the majority of infections.

What are UTI risk factors?


There are many risk factors for UTIs. In general, any interruption or impedance of the usual flow of urine (about 50 cc per hour in normal adults) is a risk factor for a UTI. For example, kidney stones, urethral strictures,enlarged prostate, or any

anatomical abnormalities in the urinary tract increases infection risk. This is due in part to the flushing or wash-out effect of flowing urine; in effect the pathogens have to "go against flow" because the majority of pathogens enter through the urethra and have to go retrograde (against a barrier, urine flow) to reach the bladder, ureters, and eventually the kidneys. Many

investigators suggest that women are far more susceptible than men to UTIs because their urethra is short and its exit (or entry for pathogens) is close to the anus and vagina, which can be sources for pathogens.
People who require catheters have an increased risk (about 30% of patients with indwelling catheters get UTIs) as the catheter has none of the protective

Immune systems to eliminate bacteria and offers a direct connection to the bladder.
There are reports that suggest that women who use a diaphragm or who have partners that use condoms with spermicidal foam are at increased risk for UTIs. In addition, females who become sexually active seem to have a higher risk of UTI; some investigators term these UTIs as

"honeymoon cystitis."Men over 60 have a higher risk for UTIs because many men at or above that age develop enlarged prostates that may cause slow and incomplete bladder emptying.Occasionally, people with bacteremia (bacteria in the bloodstream) have the infecting bacteria lodge in the kidney; this is termed hematogenous spread. Similarly, people with

infected areas that are connected to the urinary tract (for example, prostate, epididymis, or fistulas) are more likely to get a UTI. Additionally, patients who undergo urologic surgery also have and increased risk of UTIs. Pregnancy does not apparently increase the risk of UTIs according to some clinicians; others think there is an increased risk between weeks six

through 26 of the pregnancy. However, most agree that if UTIs occur in pregnancy, the risk of the UTI progressing in seriousness to pyelonephritis is increased according to several investigators. In addition, their baby may be premature and

have a low birth weight. Patients with chronic diseases such as diabetics or those who are immunosuppressed (HIVor cancer patients) also are at higher risk for UTIs.
Somo hili ni kubwa sana nitalifungulia Thread yake inshallah.
 
Back
Top Bottom