Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Pole sana Faith kisa chako kinafanana na changu kabisa kasoro mimi sikwenda Mwanza, wala kumpa kiasi kikubwa hivyo cha fedha ili nilikwenda kwake nikapika na kupakua but ndio hivyo ni TAPELI au ni Mario, all in all ndio maisha twapitia
Huyo ni marioooo sio tapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!! Fey na wewe ulijiachia sana yaani kamkopo kanachotosha kununua Pagare unamuachia boyfrend bila hata kumwambia muende wote kwa muuzaji?

Ila dushele linachanganyaga sana wadada hasa likimkolea
Weee wadada sisi tunapendaga mwanaume awe romantic mmmmmh Mwenzio nilikua naamshwa na sms taaaaamu asbh naachaje kudata
 
Pole sana Faith kisa chako kinafanana na changu kabisa kasoro mimi sikwenda Mwanza, wala kumpa kiasi kikubwa hivyo cha fedha ili nilikwenda kwake nikapika na kupakua but ndio hivyo ni TAPELI au ni Mario, all in all ndio maisha twapitia

Halafu ni lizuri hatari sio mvivu kitandani, + liko romantic mi ningeotaje mwenzenu mwaka mzima uko na mwanaume anakujali mi ningeota tapeli??/
 
Njoo kwangu

From profile picture to proper future
 

Mama nawe ushatapeliwa!!
 

Mama nawe ushatapeliwa!!
Shoga weeee hiyo ilikua 2014/2015 hatari fire huyo kijana nilimpenda jamani loooool yaani sipati kusema akatumia udhaifu wangu akaniingiza king weeee ....nasemaje mwanaume yeyote sasa hivi hata akiniambia niazime mia tano simpi ng'o msiniulize hata babako"! Nasema hata yeye hapati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…