Blood of Jesus Christ
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 525
- 953
Sawa mkuu, ni kweli ni Ke
Sawa mkuu, ni kweli ni Ke
anaweza akakuhudumia na mchepuko akawa anauhudumia pia,kwani mchepuko unataka sh.ngap!!??
Dah, hii lugha ngumu kama mathematics bana, sijaelewaaAiko daz mamlai, ntakusare kwa fasi!
Ntakudekerea usiwaze mamlai.Dah, hii lugha ngumu kama mathematics bana, sijaelewaa
Unanitesa Extro lakiniNtakudekerea usiwaze mamlai.
Yeah it’s the biggest challenge that most of us African Men facing, lucky you if you can understand
Na hata hayuko polite wala kutumia lugha yenye ushawishi as if she earned it,
nilikuwa na jamaa yangu kutoka Benin alikuwa na mwanamke wake from Russia ananisimulia
Anadai Binti wa kirussia alikuwa so independent inafika kipindi anafanya zake job anatafuta nauli lengo Tu akakutane na Mpenzi wake, and she was doing for love na jamaa akawa ananiambia yeye alikuwa anajihisi Fahari hata kumpa zawadi na kumfanyia mambo mengine out of love
Lakini mifumo yetu ya kiafrika baadhi ya wanawake ndiyo inawalemaza na kuwadidimiza shimoni kabisa.
Hizo ndo type zako.Hehehe duh me kuna mwana nlimwacha yaan alikua vzuri tu lkn alikua akisema kitu hatekelezi swala dogo tu LA kunyoa Nywele na ndevu na kubet vlikua shida kuoga ndo kabisaaa...nkaona isiwe shida nkamwacha for good....
Kuna mwamba mwingine yeye haoni shida kutoa hewa ya ukaa (kujamba) na shuzi Lina nuka kwelikweli mwamba mchafu kinoma kuoga ishu mswaki ishu geto hapafai...vuzi LA ela yote ukimwambia ndo kwanzaaa anakuona kama katuni nkaona isiwe tabu nkamwacha for good.....
Asee ni kwefex mamlide?! Unalirusha li my heart sijui unamanya?Unanitesa Extro lakini
Demu wa kitanga bila shakaNiliwahi kumuacha mpz wangu niligundua tunapishana kimawazo na kimtazamo. Mimi nilikuwa nafikiria biashara gani afanye mwenzangu yeye awaza dudu tu. Nilimpiga chini
Faza, V.A.R vipi mkubwa"I still see your shadows in my room
Can't take back the love that I gave you
It's to the point where I love and I hate you
And I cannot change you so I must replace you"
Umenikumbusha mbali pia my dear, iliwahi nikuta mkaka anachamba kama muimba taarabu na ana wivu sio mchezo siku moja alipiga bahati mbaya nikawa mbali na simu aliongeaaa, alitukanaaa alichonikera ni kunitukania mama angu nilijibu jibu moja tu nikamwambia hapa hujanioa ukinioa si utanitukania ukoo mzima?? Nilinyala kimya kimya mpaka leo
Wengi wao ni matapeli walio kubuuNikigundua dem ni mlokole tuu ..huwa na delete kimya kimyaa
Maana ni wa Naha as sana
vipi una uzoefu nao??Wengi wao ni matapeli walio kubuu
Lazma ungeboreka maana we kiziwi yeye bubu 🤣🤣🤣 isingefaa!
Note:
hakuna mahusiano ambayo yanadumu kama yale ya kusema sina mpango tufike mbali tunajiweka weka tu.. miaka inakatika mara mnafika na huko mbali.
wengi tu sio wewe.Aloo hii kama umenigusa hivi tulianza tuu kama Friends with Benefits
Daaah Muda kweli huzungumza, tuna Familia sasa.
♂♂♂♂