Umeoa Msukuma?

Thanks Mwana wa Mungu,
kwanza kwa kutoelewa mada vizuri
pili kwa ku-judge wenzako vizuri tu
tatu kwa kujichanganya kwenye mada
nne, kwa kwenda mbali sana wakati mada iko poa tu
 
ubaguzi sio mzuri wajameni... sasa nyie wote mkiowa wasukuma, ma bint wengine wataolewa na nani?
 
But Sukumas are shirikinas. Please be careful. Mi nawaogopa sana. Kwa hilo wamezidi sana, na kupita mipaka ya kawaida. Mnaopenda kuoa huko nawatakia safari njema.
 
Thanks Mwana wa Mungu,
kwanza kwa kutoelewa mada vizuri
pili kwa ku-judge wenzako vizuri tu
tatu kwa kujichanganya kwenye mada
nne, kwa kwenda mbali sana wakati mada iko poa tu

Ha ha ha haaa,

Umemchana mkuu live live...
 

Masaki
Umeongea vizuri usukumani chakula sio issue, kwa hiyo kwa familia ya kisukuma hakuna kitu kama kubania chakula kama makabila mengi ya ukanda wa Pwani.

Kikubwa ni kuwa ni wachapaka kazi wa kweli na wafugaji wazuri, ukarimu ni jadi.
Wanawake wao si utani kuhusu jinsi ya kumhudumia mume wao inaonekana ni wajuzi sio kwa kuiga...
 
ubaguzi sio mzuri wajameni... sasa nyie wote mkiowa wasukuma, ma bint wengine wataolewa na nani?

Heheheeh duh we wasukuma usipime kwani wewe wa wapi unaweza kuwa nawe mtamu ukawa na sifa za kanda ya ziwa.
 
Iko kazi mmh
 
But Sukumas are shirikinas. Please be careful. Mi nawaogopa sana. Kwa hilo wamezidi sana, na kupita mipaka ya kawaida. Mnaopenda kuoa huko nawatakia safari njema.


Heh ndugu , acha tu mi mwenyewe ni living testimony na hapo ndipo nikajua do not judge somebody by the tribe... or parents. I went through hell na alikuwa msukuma pure....acha kabisa

Its all about the soul and being God-fearing, not tribe.
 
Heh ndugu , acha tu mi mwenyewe ni living testimony na hapo ndipo nikajua do not judge somebody by the tribe... or parents. I went through hell na alikuwa msukuma pure....acha kabisa

Its all about the soul and being God-fearing, not tribe.
Kwa jina na picha wewe ni mwanamke!
Mada inauliza kama umewahi kuoa mwanamke wa Kisukuma!
Labda utujuze how you went to hell with a fellow sukuma woman!
 
Kwa jina na picha wewe ni mwanamke!
Mada inauliza kama umewahi kuoa mwanamke wa Kisukuma!
Labda utujuze how you went to hell with a fellow sukuma woman!

Maybe so may be not. Its ur assumption. Jina na picha can not be your premise for conclusion.
 

Wanaonekana wako vizuri kwa sifa hizi
 
Kajala Masanja type!!!
Oooh!!give me a break.
Ni wachapakazi lakini mambo ya sita kwa sita njoo pwani.
 
kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…