Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 857
- 1,263
Wakuu kwema?
Kwakwel nimekumbana na Hilo swali kwa miaka saba sasa, na bado sina dalili ya kuoa kabisa.
Mbaya zaidi wanaoongoza kuniuliza ni wake za watu, sasa sijui ni kwanini maana madem ambao wapo single sioni wakiniuliza hivyo.
Mtu umeolewa halafu unamuuliza ambaye hajaoa unaoa lini ili iweje?
Wewe umeshaolewa Lea ndoa yako mengine waachie wenyewe.
Kwakwel nimekumbana na Hilo swali kwa miaka saba sasa, na bado sina dalili ya kuoa kabisa.
Mbaya zaidi wanaoongoza kuniuliza ni wake za watu, sasa sijui ni kwanini maana madem ambao wapo single sioni wakiniuliza hivyo.
Mtu umeolewa halafu unamuuliza ambaye hajaoa unaoa lini ili iweje?
Wewe umeshaolewa Lea ndoa yako mengine waachie wenyewe.