Umenipotezea Muda Wangu

Umenipotezea Muda Wangu

Power G

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2011
Posts
3,884
Reaction score
1,200
"Mungu akulaani kwa kunipotezea muda wangu kiasi hiki halafu leo unaniacha". Nyambafu kabisa wewe binti, kwani mimi muda wangu ulikuwa haupotei au haukupotea? Ulaaniwe kabisa na wewe!
 
Bora huyo, kuna wengine eti wanasema umeshapata unachokitaka sasa hivi hunitaki tena, mara umenichezea ukaniacha..! Kama kuchezea tumechezeana wote, Sote tumeutumia vibaya ujana wetu, wadada wananishangaza sana
 
Bora huyo, kuna wengine eti wanasema umeshapata unachokitaka sasa hivi hunitaki tena, mara umenichezea ukaniacha..! Kama kuchezea tumechezeana wote, Sote tumeutumia vibaya ujana wetu, wadada wananishangaza sana
Ndiyo yaliyonifika mkuu. Wote tumepotezeana muda, halafu yeye analalamikia muda wake, utadhani mimi muda wangu ndiyo haukuwa na thamani!
 
Bora huyo, kuna wengine eti wanasema umeshapata unachokitaka sasa hivi hunitaki tena, mara umenichezea ukaniacha..! Kama kuchezea tumechezeana wote, Sote tumeutumia vibaya ujana wetu, wadada wananishangaza sana
joto hasira
 
Ndiyo yaliyonifika mkuu. Wote tumepotezeana muda, halafu yeye analalamikia muda wake, utadhani mimi muda wangu ndiyo haukuwa na thamani!

Power G halafu hawapo tayari kukumbuka walivyohongwa
 
Last edited by a moderator:
"Mungu akulaani kwa kunipotezea muda wangu kiasi hiki halafu leo unaniacha". Nyambafu kabisa wewe binti, kwani mimi muda wangu ulikuwa haupotei au haukupotea? Ulaaniwe kabisa na wewe!

sijaelewa ulitaka kusema nini mkuu, fafanua zaidi ili usaidike, huezi kuachwa bila sababu labda wewe ndio chanzo sisi tutajuaje wakati hujafunguka vyakutosha?
 
Afu atakuambia ulinitumia! Kwani yeye hakukutumia? Mahusiano bwana!
 
mmmmmmmmh inategemea yupi kamuacha mwenzie na kwa sababu gani...............kama hakuna sababu ya msingi mwache aseme anavyojisikia bhana maana asipoongea anaweza kujitundika.
 
mmmmmmmmh inategemea yupi kamuacha mwenzie na kwa sababu gani...............kama hakuna sababu ya msingi mwache aseme anavyojisikia bhana maana asipoongea anaweza kujitundika.
ndo aseme kuwa amepotezewa muda?
 
Maskini weeee....hizi relationship hizi. Na wewe mwambie kuwa amekuzeesha Tu. Au mwamnie kuwa Dua la kuku halimpati mwewe
 
"Mungu akulaani kwa kunipotezea muda wangu kiasi hiki halafu leo unaniacha". Nyambafu kabisa wewe binti, kwani mimi muda wangu ulikuwa haupotei au haukupotea? Ulaaniwe kabisa na wewe!

Powe G.....Power G......
POLE SANA Mkuuu
mimi nafikiri wanawake wakitumika sana miili yao huchoka na baadhi ya viungo vyao,huo ndo ukweli,ni ngumu ku repair,anajuta akienda kwa mwingine anaweza asimthamini au akaenda akiwa amechoka viungo kamma k......na ile nanii ya kifua....
Kwa mwanaume ana incur Cost of Resources like Money and other material,time spent mnatumia wote...so mtapata maumivu tofauti wote......
ni sawa na mwingine anaumia Mguu mwingine kichwa...
Ingawa zipo exceptional za maumbo ya wanawake na exceptional za Income ya mwanaume,hapa maumivu hutofautiana kabisa.
Anyway haya ni mawazo tu.....
Utamu na uchungu wa "Lawalawa uko kwenye ulimi wako"
Pole sana mkuuuShukuruni kwa kila jambo.....power G...
TULIA UTAPATA ATAKAE KUFAA KWA WAKATI.
 
Kama ww ndo chanzo cha mahusiano yenu kufa lazima akwambie hivyo,amewakataa wangapi waliokua na nia ya kumuwowa akawa na ww? Umemchezea alikuwa na mchuchu wa saa6 leo ni mayeboyebo unamwachia nani?
 
mbona wanakimbilia kupozewa muda kwan factor zngne wanazisahau?; such as... wameshajua wale omba omba.
 
"Mungu akulaani kwa kunipotezea muda wangu kiasi hiki halafu leo unaniacha". Nyambafu kabisa wewe binti, kwani mimi muda wangu ulikuwa haupotei au haukupotea? Ulaaniwe kabisa na wewe!
@Power wewe kubali yote kwani huwezi elewa MUNGU kakuepusha mangapi?
Mimi nilikuwa na wangu na tulipotezeana muda /miaka akaniacha kwa kuona sina dalili kwani sikuwa na uwezo enzi hizo sasa leo katoa USHUHUDA mbele ya kadamnasi tena Kanisani ambako Mke wangu wa Ndoa anasali huko kanisa la kilokole na akatamka kuwa ameathirika na GONJWA la kisasa
sasa sijui ni lini aliupata ugonjwa huo
 
Back
Top Bottom