Unaishi na wazazi wako au peke yako? Hiyo nyumba umepanga au yako? Una gari ngapi? Kwenu mmezaliwa wangapi? Wangapi wako majuu? Unapenda mwanamke wako aweje? Huyo wa mwanzo alikuwaje? Nikikupenda utanipendaje?
Unaishi na wazazi wako au peke yako? Hiyo nyumba umepanga au yako? Una gari ngapi? Kwenu mmezaliwa wangapi? Wangapi wako majuu? Unapenda mwanamke wako aweje? Huyo wa mwanzo alikuwaje? Nikikupenda utanipendaje?
Kuna signature ya Heaven on Earth ilikuwa na ujumbe mzuri sana kuhusu hilo swali.
Kwamba haijalishi mtu ameshakuwa na watu wangapi au wa aina gani, kilichopo kama nakupenda kwa sasa yatosha, hayo mengine sio kitu.
Japo kwa wanaume wengi jambo la history linawasumbua sana, japo hata wao sio kwamba wana record safi ila wanafikiri kwa mwanamke ni mbaya kuliko kwa mwanaume. Kama unataka record safi hakikisha na yako ni safi. Japo haimaanishi kwamba ndio mtakua na mikwaruzo michache au mambo yatakua tambarare.