Umemuona mwendawazimu?

bothlegs

Senior Member
Apr 14, 2009
122
48
Kuna mwendawazimu mmoja mwanaume alikuwa akitembea barabarani na panga mkononi huku aliwa hana nguo na (yaani yuko uchi wa kuzaliwa) na kichwani hana nywele ni kipara.Lakini hajanyoa mavuzi.Kuna jamaa mmoja ni miongoni mwa watu walimshuhudia yule mwendawazimu akiwa katika hali ile.yule jamaa kurudi nyumbani akaabaini mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 6 hayupo.Ikabidi amtafute.Alipomuona akamuuliza we mtoto ulikuwa wapi mimi baba yako nakutafuta.Yule mtoto akajibu nilikuwa barabarani.Baba akamuuliza mwanawe jee ulimoona yule mwendawazimu?Mtoto akajibu ndio baba,alikuwa ameshika panga na nywele kazitoa juu kaziweka chini.Baba akajibu kweli mwanangu umemuona mwendawazimu.
 
Back
Top Bottom