Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 30,132
- 32,647
Wawili tu...Wangapi wako hai?
Salim na Warioba
Wawili tu...Wangapi wako hai?
Ukiwaangalia unaona kabisa walikuwa kwenye mazungumzo ya kina.Wawili tu...
Salim na Warioba
Kuna wasiotumia hiko kinywaji maishani mwao kama Dr. SalimLabda walikunywa wisky
Yea na kwa kipindi cha Nyerere makazi yake yalikuwa ni Ikulu ndogo pale Msasani.Hapo ni Msasani kwa Kambarage!!
Salim A SalimChallenge kwenu wadau
Was just a jockKuna wasiotumia hiko kinywaji maishani mwao kama Dr. Salim
Sio daudi mwakawago huyo kwa omar ali jumaKutoka kushoto ni Idris Abdulwakil, Ali Hassan Mwinyi, Julius Kambarage Nyerere, Salim Ahmed Salim, Joseph Sinde Warioba, Omary Ali Juma na Rashid Mfaume Kawawa.
Niambie kiongozi....Yea na kwa kipindi cha Nyerere makazi yake yalikuwa ni Ikulu ndogo pale Msasani.
Naona umeamua ujikite moja kwa moja katikati ya Tz, next month nachukua likizo na nina mpango wakufika mpaka hukoNiambie kiongozi....
Hapana, ni Omary Ally Juma. Wakati huo alikuwa ni Waziri Kiongozi Zanzibar.Sio daudi mwakawago huyo kwa omar ali juma
...nakusubiriHaha nafahamu hilo kuwa tumeshakuwa sasa. Hope you'll enjoy my company😊
Na Bado Mohamed Said husema zama hizo kulikuwa na mfumo Kristo.
Nyerere peke yake.Challenge kwenu wadau