Umeme wakatika tena

Umeme wakatika tena

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,551
Niko nacheki taharifa ya habari juu ya kusimama kwa bunge katika bajeti ya nishati na madini mara ghafla Ngeleja anakata umeme,sijuhi vipi huko wenzangu
 
Geita pia umeme umekatka now,jaman hali hii mpaka lini,leo bill imekuja 70 elfu,akati matumizi n ya kawaida kabisa,mwez jana nmelpa 3500 tsh.
 
Back
Top Bottom