kwanza uwe na picha ambayo ni pasipoti size moja,halafu unalipia kadi/fomu bei yake ni 59OO/-,unamtafuta contractor akuchoree then akugongee muhuri lakini hapa hakikisha kuwa tanesco awe amesajiliwa,baada ya kuchora utarudisha kadi lao then watakupangia siku ya kwenda kumchukua survey aje kukupimia,Na survey ndie atakayekuandikia gharama za kulipa,Kwa servise line ambayo haina nguzo gharama yake ni Sh 32O96O/-,nguzo 1 moja ni 51596O,muda wa kuunganishiwa tanesco ni ndani ya siku 9O tangu ulipolipia,lakn hapo lazima ucheze na staff ndo utajengewa fasta