Umeme wa kutumia sumaku

Umeme wa kutumia sumaku

Joined
May 16, 2020
Posts
41
Reaction score
59
Wapendwa kuna mtu mmoja nilimuona kwenye YouTube ni fundi wa kutengeneza umeme wa majumbani kwa kutumia sumaku anaitwa Msuya yuko Dar maeneo ya kawe kulingana na alivyojitambulisha.

Naomba mwenye namba yake ya simu tafadhali anitumie au walioko karibu nae naomba wanisaidie kumtafuta wamuombe namba wanitumie.

Tafadhali naombeni sana.
 
Bwana Rodgers Msuya alitengeneza KV 5.

Sema namba sina.
 
Huo Umeme natamani kuelewa zaidi unatengenezwaje kwa sumaku.
 
Huo Umeme natamani kuelewa zaidi unatengenezwaje Kwa sumaku
Simpel tu kwa waliosoma physics,magentic flux.Sumaku Ina ncha mbili North na South Sasa kuna magnetic flux ambazo zinatoka N to S sasa ukichukia coil(waya) labda wa copper ukawa unauzungusha kwenye hizo flux utazalisha umeme.Kifupi ni hivyo.....mfano mzuri ni Dynamo ya baiskeli inavyofanya kazi
 
Simpel tu kwa waliosoma physics,magentic flux.Sumaku Ina ncha mbili North na South Sasa kuna magnetic flux ambazo zinatoka N to S sasa ukichukia coil(waya) labda wa copper ukawa unauzungusha kwenye hizo flux utazalisha umeme.Kifupi ni hivyo.....mfano mzuri ni Dynamo ya baiskeli inavyofanya kazi
KUMBE SIMPO TU?
 
Simpel tu kwa waliosoma physics,magentic flux.Sumaku Ina ncha mbili North na South Sasa kuna magnetic flux ambazo zinatoka N to S sasa ukichukia coil(waya) labda wa copper ukawa unauzungusha kwenye hizo flux utazalisha umeme.Kifupi ni hivyo.....mfano mzuri ni Dynamo ya baiskeli inavyofanya kazi
Hujaelewa chochote hpo mkuu na unasema simple tuu ,, Iko hivii yule jamaa ametengeneza primary mover (engine) ,, wewe unaonglea electromagnetic induction ya bwana Faraday,,
Iko hivii,, Badala uchukue diesel engine au steam turbine au water falls kudrive alternator upate umeme yeye Kaunda hyo source of power, yaan hajaitumia sumaku kama media ku convert mechanical energy to electrical,, oyaa cjuw umenpata hapo au bado,, tunaweza kusema amekiuka Ile law of conservation of energy,, kamsiklize vzur YouTube utaelewa
 
Hujaelewa chochote hpo mkuu na unasema simple tuu ,, Iko hivii yule jamaa ametengeneza primary mover (engine) ,, wewe unaonglea electromagnetic induction ya bwana Faraday,,
Iko hivii,, Badala uchukue diesel engine au steam turbine au water falls kudrive alternator upate umeme yeye Kaunda hyo source of power, yaan hajaitumia sumaku kama media ku convert mechanical energy to electrical,, oyaa cjuw umenpata hapo au bado,, tunaweza kusema amekiuka Ile law of conservation of energy,, kamsiklize vzur YouTube utaelewa
Umeelezea vizuri. Kama ingekuwa simple basi kila aliefika form 2 angefanya hivyo.
 
Back
Top Bottom