snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
hallo people,kwa siku kadhaa sasa nimekua nikiwaza jambo ili niweze kutengeneza umeme bila running costs kubwa,hivi kwa mfano nikawa na motor yangu kubwa inayotumia battery za gari then niiwekee fan-belt,na hiyo fan belt izungushe a bigger dynamo,because ile dynamo itaform umeme,ule umeme wake niugawanye urudi kwenye zile battety za motor ili kuongeza charge,na surplus yake niitumie kwa matumizi yangu binafsi,,,,je hii itafaa kweli?nahitaji maoni yenu kwani ni muhimu sana kwangu,,,,,,ahsanteni