S Somi JF-Expert Member Feb 7, 2009 3,609 4,361 Jul 30, 2011 #1 Kukosa kazi kubaya sana. Grid ya Taifa imeamua kucheza ruka kamba, Umeme wa uhakika TZ mpaka mwisho wa dunia!Hapa ni karibu na Songas Ubungo Kama gesi ipo na umeme tunakosa bora na mafuta yasipatikane maana hayatasaidia kitu zaidi ya kufaidisha mijizi michache huku shida zikiendela
Kukosa kazi kubaya sana. Grid ya Taifa imeamua kucheza ruka kamba, Umeme wa uhakika TZ mpaka mwisho wa dunia!Hapa ni karibu na Songas Ubungo Kama gesi ipo na umeme tunakosa bora na mafuta yasipatikane maana hayatasaidia kitu zaidi ya kufaidisha mijizi michache huku shida zikiendela
wende JF-Expert Member Sep 6, 2009 714 65 Jul 31, 2011 #4 aise hiyo ni kali kwelikweli...kwa hali hiyo giza ni mpaka milele!
Mama Mdogo JF-Expert Member Nov 21, 2007 2,961 2,138 Jul 31, 2011 #5 Mbona hii kitu ya pylons na waya kuruka viunzi ilisha kuwa presented na kaka M.M. Mwanakijiji long ago!!!!! Somi jitahidi ujaribu kupitia thread za huko kabla utaiona.
Mbona hii kitu ya pylons na waya kuruka viunzi ilisha kuwa presented na kaka M.M. Mwanakijiji long ago!!!!! Somi jitahidi ujaribu kupitia thread za huko kabla utaiona.