Umeme ni Tanzania nzima au Dodoma tu??!!

Umeme ni Tanzania nzima au Dodoma tu??!!

Halafu huu ni uzembe, kila mkoa ungekuwa na backup source yake.......... mfano kituo mama kikapigwa bomu iwe na uwezo wa kusaplai hata masaa matatu hadi nane kwa siku na hizi imejensi ndogondogo unakava - Self sufficiency

Hata hivyo nitoe pongezi, maana kama umekatika tumestuka ina maana sio kawaida ni habari. Hongera sana serikali kwa kutupatia umeme wa uhakika nchi nzima👊💪
 
Mitambo ilichakaa sana acha ifanyiwe ukarabati
 
Inasikitisha sana nchi kubwa kama Tz tumeshindwa kuwa na umeme wa uhakika hii nchi inaheshimika san Afrika lkn tatizo sijui liko wapi.
 
Back
Top Bottom