Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,716
- 29,072
Mzuka wanajamvi.
Miaka ya karibuni Bangladesh imepiga hatua sana kiuchumi.
Hii ni kwasababu wanazalisha umeme mwingi na bei nafuu.
Wawekezaji wengi kutoka majirani India na Pakistan wamewekeza sana Bangladesh kwenye viwanda.
Pia nchi za Asia na ulaya zinawekeza sana sasa hivi Bangladesh kwasababu ya unafuu wa umeme na bei rahis.
Umeme mwingi na wa bei nafuu imemfanya Bangladesh ipige hatua kiuchumi.
Matajiri na middle class Bangladesh sasa hivi wanaongezeka kwa kasi ukilinganisha miaka ya nyuma.
Kupitia umeme wanawake wengi Bangladesh wameajiriwa kwenye viwanda vya kushona nguo ambazo zinavaliwa kila mahali duniani.
Sisi tumezubaa. Sasa hivi Afghanistan chini ya Taliban nayo inakuja kwa kasi kwenye uchumi. Baada ya miaka mfano wachumi wametabiri Afghanistan itapiga hatua kubwa sana.
Maghayo is a senior JF local and international analyst and correspondent and a London based Chatham house think tank.
Miaka ya karibuni Bangladesh imepiga hatua sana kiuchumi.
Hii ni kwasababu wanazalisha umeme mwingi na bei nafuu.
Wawekezaji wengi kutoka majirani India na Pakistan wamewekeza sana Bangladesh kwenye viwanda.
Pia nchi za Asia na ulaya zinawekeza sana sasa hivi Bangladesh kwasababu ya unafuu wa umeme na bei rahis.
Umeme mwingi na wa bei nafuu imemfanya Bangladesh ipige hatua kiuchumi.
Matajiri na middle class Bangladesh sasa hivi wanaongezeka kwa kasi ukilinganisha miaka ya nyuma.
Kupitia umeme wanawake wengi Bangladesh wameajiriwa kwenye viwanda vya kushona nguo ambazo zinavaliwa kila mahali duniani.
Sisi tumezubaa. Sasa hivi Afghanistan chini ya Taliban nayo inakuja kwa kasi kwenye uchumi. Baada ya miaka mfano wachumi wametabiri Afghanistan itapiga hatua kubwa sana.
Maghayo is a senior JF local and international analyst and correspondent and a London based Chatham house think tank.