Wakuu kama mnavyofahamu Tanesco inakusudia kupandisha bei ya umeme January 2012 kwa kipindi cha dharura cha miezi 6.Nashauri watu wote wenye hela zao wanunue umeme wa kutosha miezi 6 December hii kabla haujapanda bei.Unachotakiwa kufanya baada ya kununua ni kwenda kununua umeme kidogo sana ili ulipe service fee ya kila mwezi ambayo sijui ni kwa nini inatozwa..Ni ushauri wa bure