Umeipenda barabara ipi hapa?

Umeipenda barabara ipi hapa?

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
strange_roads_11-520x336.jpg


fedbd8a1-c80b-462d-9f3f-5f0e1136d655.jpg


strange_roads_31-520x344.jpg
 
zote, ila hii ya mwisho hata barabara ya matombo haiingii
 
Inauma sana kuona hii wakati barabara zetu hazina mwezi tokea zijengwe ni mashimo tu.refer barabara ya mchepo kutoka Kimara stop over to Kimara suka. Africana sinza to Mabatini Polisi. Sinza kijiweni to MTOGOLE.Afu wakadarasi wazawa wanataka kupewa kazi Kubwa
 
Duh.. Good looking roads, massive investment though.
 
Inauma sana kuona hii wakati barabara zetu hazina mwezi tokea zijengwe ni mashimo tu.refer barabara ya mchepo kutoka Kimara stop over to Kimara suka. Africana sinza to Mabatini Polisi. Sinza kijiweni to MTOGOLE.Afu wakadarasi wazawa wanataka kupewa kazi Kubwa

Mlandizi to Chalinze
 
Mlandizi to Chalinze

Mkuu ya mlandizi to chalinze pale water table iko juu pale panahitaji hela za kutosha na pia akili ya ziada.Ila hizi za huku ndani ya dar hasa kinondoni wakandarasi wazawa wanatia aibu.
 
Back
Top Bottom