stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,975
- 4,207
Kuna funzo hapa!!
Simba wa Dar huyo anakula manyasi wakati punda yupo.
Duuuuh huyu ni punda? umeturahisishia kujua watu wenye wivu na waishio Dar ni wa aina ganiSimba wa Dar huyo anakula manyasi wakati punda yupo.
Kwani na wewe upo Dar?Duuuuh huyu ni punda? umeturahisishia kujua watu wenye wivu na waishio Dar ni wa aina gani
Kwani na wewe upo Dar?
Mimi nipo AlexandriaKwani na wewe upo Dar?
Ewaaa...na hata wale uliokua ukiwaonea na kuwanyanyasa (kuwafanya vitoweo) utabaki kuwaangalia tu..nguvu kwishaa..Sio vitu nvyote hudumu hata ujana una mwisho wake,ambao ni uzee.
Bashite soma hiyoooooKuna wakati utafika nguvu ulizo nazo zitaisha umaarufu utaisha utaonekana kama kitu kidogo kwa wale uliowadharau mwanzo huku wao wakiendelea na maisha yao vizuri
Hivyo jaribu kuheshimu kila apitaye katika maisha yako hujui kesho ikoje
Kwani na wewe upo Dar?