babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,314
kitu kama iyo.....nipe nikupe si ndio mtindo wa sasa!..ama nini
Is that a picture or an illustration?
Pesa kwa mbunye...
Is that a picture or an illustration?
Ila mademu wa Bongo kwa mizinga nadhani wanaongoza duniani! Ni kero!
Kuna mwanamke nlikua nae mwanzo wa uhusiano wetu alikuwa anasema hapendi pesa kbs kwa mwanaume,eti yeye anapendaga kweli na kiukweli hakuwai kuniomba pesa ,kumbe alikua anafanya uchunguzi wa kipato changu cku ya cku alianza minzinga hadi nikakimbia
hahahaahaaahaaahaaaa..... ni nouma umetisha kwel,,.... siku hiz no love but give money,given sex:rockon:
hehehehehe,mkuu yamekukuta nini?
We huwafahamu watoto wa kibongo wanavyopenda vibomu? Unachat na mt for the first time message ya kwanza tu unasikia oo, naomba laki; mara oo, naomba nitumie tiketi ya ndege niko Moshi; oo, naomba elfu hamsini...... Nyambafu!
Kuna mwanamke nlikua nae mwanzo wa uhusiano wetu alikuwa anasema hapendi pesa kbs kwa mwanaume,eti yeye anapendaga kweli na kiukweli hakuwai kuniomba pesa ,kumbe alikua anafanya uchunguzi wa kipato changu cku ya cku alianza minzinga hadi nikakimbia