Hatumtukani mzee, ila mzee anatushangaza makengeza ameyapata lini? Alikuwa na orodha ya mafisadi 11 lakini sasa orodha yake anamwona mmoja tu, hata huyo mmoja hajampeleka mahakamani kama mtuhumiwa alivyoomba mwenyewe!
Sasa mtu anayelazimisha makengeza wakati hana lengo lake ni nini?
Kama ana ubavu aende mahakamani!
Mashabiki wa magamba kwa kujifanya wana makengeza hawajambo! Watakuambia hapakuwepo na mafuriko ya watu pale jangwani siku ya uzinduzi wa kampeni ya chadema na ukawa eti picha live kwenye TV ni za kutengeneza na picha kwenye magazeti ni za kutengeneza! Sasa huyu hapa naye analazimisha makengeza na kusema wanaomponda babu slaa na uongo wake hawafiki kumi! Pole!
Na hii ni karata ya mwisho ya magamba kujaribu kuzuia mafuriko kwa mkono na karata hii imeshindwa vibaya kama ile ya lipumbi!
Kama umesikia maelezo ya Slaa basi Lisu katufumbua kitu kingine tulichokuwa tunajiuliza siku nyingi. Slaa kaweka wazi hana tatizo na Mbowe na kwamba amemjengea mpaka nyumba maana yeye Slaa hana hela. Mwansheria tena wa chama anasema Slaa anaishi kwenye nyumba ya chama so CHADEMA=MBOWE kuna chama hapo? Ndiyo maana anauwezo hata kuchagua mgombea bila kufuata taratibu za kidemokrasia...du hii ni NGO
Leo tumesikia mbivu na mbichi toka kwa Dr Slaa, aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA.
Tumesikia jinsi alivyoingia uongozini CHADEMA kwa nguvu yake ya pesa, na jinsi anvyobebwa na watu kama Rostam Aziz.
Tumesikia jinsi Dr Slaa alivyo fungashiwa rushwa ya tshs 500 million ili akubali kumsafisha fisadi.
Tumesikia jinsi Richmond ilivyo bado mbichi kabisa.
Sasa kijana anaye mshabikia fisadi, mwizi na muongo tumwelewe vipi?
Lazima mtu huyo ana matatizo makubwa.
Yethu wangu maria na yosefu pamoja na maelezo mazuri bado watu wanang'ang'ania makapi? Kweli sikio la kufa halisikii dawa
Leo tumesikia mbivu na mbichi toka kwa Dr Slaa, aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA.
Tumesikia jinsi alivyoingia uongozini CHADEMA kwa nguvu yake ya pesa, na jinsi anvyobebwa na watu kama Rostam Aziz.
Tumesikia jinsi Dr Slaa alivyo fungashiwa rushwa ya tshs 500 million ili akubali kumsafisha fisadi.
Tumesikia jinsi Richmond ilivyo bado mbichi kabisa.
Sasa kijana anaye mshabikia fisadi, mwizi na muongo tumwelewe vipi?
Lazima mtu huyo ana matatizo makubwa.
Leo tumesikia mbivu na mbichi toka kwa Dr Slaa, aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA.
Tumesikia jinsi alivyoingia uongozini CHADEMA kwa nguvu yake ya pesa, na jinsi anvyobebwa na watu kama Rostam Aziz.
Tumesikia jinsi Dr Slaa alivyo fungashiwa rushwa ya tshs 500 million ili akubali kumsafisha fisadi.
Tumesikia jinsi Richmond ilivyo bado mbichi kabisa.
Sasa kijana anaye mshabikia fisadi, mwizi na muongo tumwelewe vipi?
Lazima mtu huyo ana matatizo makubwa.
Na mimi nasema tumpigie tuu Lowasa maana hakuna njia nyingine.
CCM ilikuwa imebakiza risasi moja tu katika bunduki yao ya kuimaliza UKAWA. Risasi hiyo ni hotuba mbovu,isiyokuwa na ukweli na ya kumezeshwa ya Dr.Slaa kuiponda UKAWA na Lowassa. Kutokana na kuwa Lowassa ni mpango mkubwa wa MUNGU kuikomboa Tanzania kutoka katika kundi hatari la CCM Dr Slaa ameweweseka na kujikuta akipiga risasi katika upande wake yeye na watu wake hao waliomtuma,kumlipia hotel na ndege ya kukodi kutoka Afrika ya Kusini,na kwenda Marekani ambapo ataendeleza propaganda za siasa nyeusi na chafu.Hatojali tena maslahi mapana ya Wananchi wa Tanzania.Amelipua bomu na ametokomea kukwepa madhara yake huku watu wa upande wake wakiangamia.TUNASONGA MBELE!!