umbea mbaya.

Si mchezo; Imetulia. Najaribu kuvuta hisia itakavyoripotiwa kwenye magazeti yetu - "Mzee huyo alifariki/alipata majeraha hayo akiwa katika harakati za kujiokoa na nyoka aliyekuwa kwenye begi la mwanafunzi" :doh:
 
Si mchezo; Imetulia. Najaribu kuvuta hisia itakavyoripotiwa kwenye magazeti yetu - "Mzee huyo alifariki/alipata majeraha hayo akiwa katika harakati za kujiokoa na nyoka aliyekuwa kwenye begi la mwanafunzi" :doh:

Ha ha haa, lazima iripotiwe ki umbea umbea kama babu mwenywe.

Umbea siyo kitu kizuri hata kidogo. Ni nouma.
 
Ah kama siyo nyie wake babu asingekuwa mmbea, nyie ndo metufundisha wanaume japo mi megoma kujifunza.
 

atakuwa na asili ya wazaramo...
 
umbea wake cz acngepga chabo acngepata zote hzo.wapo weng xana wa2 ka hao wanaopenda kuchabo text za wa2 whle unasafr
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…