Tatizo sio umateka wa fikra, tatizo ni namna gani fikra za vyama vingi tumizitumia kujenga uchumi.
Kwa mtazamo mwengine ni kuwa siasa za vyama vingi ni mzigo mzito hasa kwa nchi kusini mwa jangwa la Sahara.
Fikra za kimapinduzi na haraka
Bora wew umeliona ,yaani kitu kinachoitwa demo- crassii ,ndipo tulipologewa hapo ,democrasia haijawahikunipa mimi chakula badala yake yameongezeka mamizigo ya kulea wanasiasa kwa kuwalipa RUZUKU, kila siku