BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,378
Kwani umesoma alichoandika makamba mkuu? Au umekoment tu!Kwahio hilo mmeona Ndio kigezo cha umasikini!
Huyo nimtunza mazingira ulitaka Avae kama Masharobaro!!
Siyo hoja hii
Kwani umesoma alichoandika makamba mkuu? Au umekoment tu!Kwahio hilo mmeona Ndio kigezo cha umasikini!
Huyo nimtunza mazingira ulitaka Avae kama Masharobaro!!
Siyo hoja hii
Hauoni hata habari kwa picha,tazama hyuma ya Mh,Makamba kuna mtu na bila shaka mtu huyo ni driver au msaidizi Mh,Makamba inaonysha alifungua buti la gari na inaonyesha alitoa nguo kwenye bag la Mh kisha kumkabidhi huyo m/kiti.Sasa Makamba alitoa wapi shati jingine au anatembea na mawili
Nilidhania kavua lake na yeye Kubaki na vest tu kumbe katoa sandukuni kwenye gari lake... rubbish news Trump husema "Wrong"
Two shots at pal! Kwa mwakilishi wa Jimbo hilo na mwakilishi pendwa wa wengi! He is playing with fire!
Nfo hapo sasa wanasiasa wanacheza na akili zetu hawa hatariii!Sasa Makamba alitoa wapi shati jingine au anatembea na mawili
Hizo ni kiki tuu skySasa waziri alikuwa na shati la ziada kwenye gari?
Huyo mwenyekiti atakuwa aliandaliwa kumpa January Promotion! Kiki at workSasa Makamba alitoa wapi shahuti jingine au anatembea na mawili
Katika hali inayoonyesha umasikini mkali unalikabili taifa,Mwenyekiti wa Kijiji huko Chalinze alikutana na Waziri January Makamba hali ya kuwa shati lake limechanikachanika
Mwenyekiti huyo aliyesifiwa na Waziri Makamba kuwa ni mtunza mazingira mzuri,aligusa imani NA huruma ya Waziri January Makamba ambaye alilazimika kumpa shati lake,kitendo kilichomfanya Mwenyekiti huyo wa Kijiji aangue kilio kikuu
TAFSIRI YANGU
Hali ya umasikini ni mbaya sana mitaanj,mtu mzima kutembea amevaa shati lililochanika,tena yeye akiliona ni shati maalum la kumpokelea Waziri aliye katika Ofisi ya Makamu wa Rais inasikitisha
Tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani imekuwa ikitamba kwamba ni serikali ya watu masikini,je hii inamaanisha kwamba haitauondoa umasikini kwa kuwa ukiondoka basi inakosa mizizi?
Kilio cha Mwenyekiti huyo wa kijiji,mtu mzima,akatoa machozi baada ya kupewa shati nadhani ana mengi katika familia yake,hatujui watoto wake wanavaa kweli? Wanakula? He hali hii iko kwa watu wangapi katika utawala huu? Je naye ni mpiga dili?
Tangu serikali iingie madarakani hakuna program yeyote ya kuondoa umasikini vijijini,matokeo ndio haya,NA utawala huu sasa una miaka miwili NA nusu,bado miaka miwili uondoke
Pia kuna tamko la kuzuia mitumba eti tutakuwa tunapeleka sisi mitumba ulaya,kwa hali hii kweli?
Japo serikali hii anasema ni ya masikini,lakini haitakiwi kuzidisha idadi ya watu
masikini
Taifa likihoji kuhusu umasikini mkali ulioletwa NA awamu hii,jibu ni MLIZOEA DILI
Badala ya kusisimua uchumi,hela zote tumeficha Benki Kuu,zilizobaki,tunawapeleka vijana wa kizungu wenye viwanda vya ndege za bombadia NA dreamliner
View attachment 554544
Imeandikwa......heri wenye moyo safi
KabisaCRYING ONLY WONT HELP, DO MORE, HE REPRESENT WATU WENGI SANA WA AINA HIYO
Kweli mkuuAsante Makamba kwa kutuvika Shati jipya.
" Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi ? Akawajibu akiwaambia, Mwenye kanzu mbili na ampe asiye na kanzu; na mwenye chakula na afanye hivyo hivyo "
Luka 3 : 10 - 11
Upendo wa kweli unaanza kujionesha katika vitu vidogo sana, ambavyo ni vikubwa.
Zawadi ya nguo na chakula huwa tunazipata kutoka kwa wetu wa karibu wanaotupenda kwa dhati kama, baba, mama, mtoto, kaka, dada nk.
Makamba umeonesha mfano wa kiongozi anayewathamini watu wake na hasa wenye shida.
Endelea na upendo huu,
sisi tuliovaa kaptula za vilaka hapo zamani tunajua jinsi nafsi zetu zinavyofulahi pale tupatapo msaada wa kaptula mpya.
Hakuna zawadi ndogo.