Umakini: CHADEMA Urais mawakala watanunuliwa?

Umakini: CHADEMA Urais mawakala watanunuliwa?

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,149
Wakati tume ikiwa inakwepa lawama, na wakati wahisiwa kadhaa wakiwapo waliokuwa viongoz wa juu wa ukawa waliosaliti chama na kuwaacha wananch wakilia kutoa maamuz wenyew ktk kumchagua rais lowasa. kaz itabak kwa kambi ya ukawa nani watamuamini kwenda kuangalia kuhesabu kura za rais,wabungu na madiwani.

Ikubukwe kuwa watanz wameapa kuchagua rais mwaka huu octoba 25,

Kwa ile ile hofu ya kuingiza watu mawakala watakao weza kununuliwa. Ni dhahili lazma kuna kila njia zitasakwa kununua watu watakao weza kupunguza kura.

NILAZIMA KULIJUA HILO MAPEMA
 
Kama walibuni wanachama feki, ofis feki, kadi feki, sera feki, blogger feki wamejaa kwnye social media unafikiri watashndwa kutafuta mawakala feki?
 
uwezekano wa kununua mawakala haupo labda ukawa wafanye na km ndio mpango wao basi mara hii hio njia haipo na wala msitafte sababu zile mbili bila za yanga naona zimemaliza kazi
 
imani itajengeka kwa kuwa kura zitabadikwa ktk kila kituo. Ccm ili ijenge heshima ikubali fear kutoka sasa
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini

Wewe ni Mnafiki na wala huna Uislamu wowote.
CCM ndiyo ya inayoangamiza Uislam lakini huoni kabisa.
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini

Huna LOLOTE, wewe kwanza hata sio muislamu,hujui dini,ni muuaji mkubwa unapoleta udini hapa.
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini

Kwa mujibu wa tafiti mbili zilizotoka, makomeo anapewa sapoti toka kwa wazee na wajinga ambao hawajasoma...so ww mwongozo junior utakuwa kundi la ambao hawajasoma.....
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini
Mashekhe wetu wa uwamsho wako rumande pia lowasa? Sheikh Ponda, umesahau mwembe chai ndani ya msikiti risasi?
 
Back
Top Bottom