Umaarufu wa wabunge

MKANKULE

JF-Expert Member
Dec 8, 2011
418
94
Mara nyingi sana nikiwa nafuatilia bunge nimekuja kugundua kwamba wabunge wa upinzani wanapoomba mwongozo, au kuhusu itaratibu, pengine hata baada ya kuchangia hoja mbalimbali kuwa wanaambiwa wanatafuta umaarufu, mfano wiki iliyopita Tundu Lisu aliambiwa acha kutafuta umaarufu,

Jana nimemsikia Naibu WA spika akimwambia HALIMA MDEE aache kutafuta umaarufu. Sasa mimi naomba kujua hivi umaarufu unatafutwa? Na je, kama mtu ni maarufu tajari kuna haja yoyote ya kutafuta umaarufu.

Je, mtu akifanya jambo gani ndio atambulike kuwa ni maarufu. Hivi mbunge yeyote kwa kupitia nafasi yake si tayari ni mtu maarufu? AU tuseme kwamba CCM wanapozidiwa na hoja za wapinzani huwa wanaona kwa kusema hiloo neno ndio kujibu hoja zenyewe au kumdhalilisha huyo mbunge.

NAOMBA KUWASILISHA
 
Mara nyingi sana nikiwa nafuatilia bunge nimekuja kugundua kwamba wabunge wa upinzani wanapoomba mwongozo,au kuhusu itaratibu,pengine hata baada ya kuchangia hoja mbalimbali kuwa wanaambiwa wanatafuta umaarufu,mfano wiki iliyopita Tundu Lisu aliambiwa acha kutafuta umaarufu,na jana niememsikia Naibu WA spika akimwambia HALIMA MDEE aache kutafuta umaarufu...

Chama cha Mabwepande wanachofanya kwa sasa ni kushambulia wapinzani kisaikolojia.

hata hivyo, wamechelewa sana.
 
Mara nyingi sana nikiwa nafuatilia bunge nimekuja kugundua kwamba wabunge wa upinzani wanapoomba mwongozo,au kuhusu itaratibu,pengine hata baada ya kuchangia hoja mbalimbali kuwa wanaambiwa wanatafuta umaarufu,mfano wiki iliyopita Tundu Lisu aliambiwa acha kutafuta umaarufu,na jana niememsikia Naibu WA spika akimwambia HALIMA MDEE aache kutafuta umaarufu...

Hiko hivi! Unajua hawa wenzetu walishazoe kupelekeshana kama mapunda tu akisema mkubwa unatakiwa kukubali iwe amekosea ama yupo sahihi.

Sasa walipokuja watu wa kuhoji kwenye kila jambo ambalo wanaona lina utata au alipo sahihi wanapata tabu sana kudeal nao maana wengi wanakuwa wanalindwa na sheria na sheria au kanuni zinamruhusu kuhoji na kujibiwa.

Sasa hapo ndiyo mtafaruku unakuja wa kuanza kuitana vituko, kauli za kibabe zinaanza kutumika utasika kaa chini au mara nyingine utasikia mh. flani endelea kana kwamba aliyesimama kuomba muongozo hana maana.
 
Mara nyingi sana nikiwa nafuatilia bunge nimekuja kugundua kwamba wabunge wa upinzani wanapoomba mwongozo, au kuhusu itaratibu, pengine hata baada ya kuchangia hoja mbalimbali kuwa wanaambiwa wanatafuta umaarufu, mfano wiki iliyopita Tundu Lisu aliambiwa acha kutafuta umaarufu,

Jana nimemsikia Naibu WA spika akimwambia HALIMA MDEE aache kutafuta umaarufu. Sasa mimi naomba kujua hivi umaarufu unatafutwa? Na je, kama mtu ni maarufu tajari kuna haja yoyote ya kutafuta umaarufu.

Je, mtu akifanya jambo gani ndio atambulike kuwa ni maarufu. Hivi mbunge yeyote kwa kupitia nafasi yake si tayari ni mtu maarufu? AU tuseme kwamba CCM wanapozidiwa na hoja za wapinzani huwa wanaona kwa kusema hiloo neno ndio kujibu hoja zenyewe au kumdhalilisha huyo mbunge.

NAOMBA KUWASILISHA
..kwamba CCM wanapozidiwa na hoja za wapinzani huwa wanaona kwa kusema hiloo neno ndio kujibu hoja zenyewe
OGOPA MAJI YA SHINGO KAKA
 
JOB NDUNGAI AU VYOVYOTE WANVYOKUITA UMEVIMBIWA UNAIBU SPIKA UNAFIKIRI UR ON TOP OF THE WORLD,LAKINI KUMBUKA BABA YAKO SITA ALISHAMTOA NJE ZITO NDIO UMAARUFU UKAONGEZEKA SASA ENDELEZA UBABE WENU WA CCM USIOTUMIA HEKIMA WALA BUSARA HATA ILE SARA MNAYOANZA NAYO ASUBUHI SIYO YA KUMUOMBA MUNGU SABABU CCM HAMUMJUI MUNGU 99%YA WABUNGE WENU NI WASHIRIKINI WAUWAJI WA MAALBINO WAZURUMAJI WA MLI ZA MASKINI WEZI WA MALI YA UMMA NA WANAFIKI HIVYO SALA INAYOKUFAA WEWE NA WENZAKO WA CCM NI SARA YA SHETANI TU NA KUMBUKA UNAIBU SPIKA UNAPITA NA VERY SOON WATAKUTOSA KAMA SITA


Je, mtu akifanya jambo gani ndio atambulike kuwa ni maarufu. Hivi mbunge yeyote kwa kupitia nafasi yake si tayari ni mtu maarufu? AU tuseme kwamba CCM wanapozidiwa na hoja za wapinzani huwa wanaona kwa kusema hiloo neno ndio kujibu hoja zenyewe au kumdhalilisha huyo mbunge.

NAOMBA KUWASILISHA[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom