You'll never know that you know until you try. Jaribu kuomba mkopo ndipo utajua kama utapata au utakosa, maana wapo ambao wamesoma shule za serikali tangu vidudu na hawana wazazi lakini bado mkopo hawapati.
Mimi nimesoma.private toka primary hadi advance.
.
na niliomba mkopo ,na chuo nikachaguliwa udom,na ninaenda udom MD
,vipi mkopo ntapata au deshi kabisa. mdhamini wangu ni baba ambaye ni mkulima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.