Ulizo:

Ulizo:

64-bit

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
298
Reaction score
147
Kuna mtoto ameomba muhas second round wakamtumia status kwenye accoujt yake kuwa not selected kwenye course alizoomba, leo anaingia kucheki ule ujumbe haupo tena, hii nini maana yake sasa kwa anayefaha au kuhisi kitu kinachoendana na hilo swala
 
Kama huo ujumbe umeondoka ni kitu gani kilichopo kwenye profile yake..
 
Kuna mtoto ameomba muhas second round wakamtumia status kwenye accoujt yake kuwa not selected kwenye course alizoomba, leo anaingia kucheki ule ujumbe haupo tena, hii nini maana yake sasa kwa anayefaha au kuhisi kitu kinachoendana na hilo swala

Kama ameomba second round basically majibu hayajatoka mpaka tar07 sept....... na kama amekuta ivo kwenye dashboard yake basi itakuwa hakuchaguliwa kwa round ya 1,hivyo baada ya kufungwa kwa round ya kwanza huwa wanakariibisha re-application for the 2nd round. Hapo muulize vizuri kama alire-apply katika 2nd round kistahimiilivu.
 
Muhas nafasi zimejaa ni kwamba tu hawataki kusema ukweli,hakuna aliechaguliwa second round status zote not selected
 
Muhas nafasi zimejaa ni kwamba tu hawataki kusema ukweli,hakuna aliechaguliwa second round status zote not selected

Iko hivo,na kwa kulithibitisha hilo walitoa taarifa kwa wale waliochaguliwa awamu ya kwanza, siku ya tareh30.08 waende kwenye INTERVIEW na walienda......Hii iinaonyesha kabisa kuna suala la mchujo unapita licha ya kuwa admitted.
 
Iko hivo,na kwa kulithibitisha hilo walitoa taarifa kwa wale waliochaguliwa awamu ya kwanza, siku ya tareh30.08 waende kwenye INTERVIEW na walienda......Hii iinaonyesha kabisa kuna suala la mchujo unapita licha ya kuwa admitted.
duh ishakua tabu sasa muhas
 
Kuna mtoto ameomba muhas second round wakamtumia status kwenye accoujt yake kuwa not selected kwenye course alizoomba, leo anaingia kucheki ule ujumbe haupo tena, hii nini maana yake sasa kwa anayefaha au kuhisi kitu kinachoendana na hilo swala
Duuu atamim icho kitu kimenkuta NIT wamenamby sjawa selected lkn nilivoingia tena nkakuta ujumbe aupo tena
 
Back
Top Bottom