Ulizingatia nini na kujiridhisha mpaka ukaamua kufunga nae ndoa?

Usie na ndoa, si utulie tu ujifuze na kuchota uzoefu utakaokusaidia kuamua 🐒
Ila umemaliza ki vayolensi mkuu 😂😂 hujui hao ndo majority voters humu?

Kuna comment nishawahi soma eti "mtu mwenye mume huwezi mkuta mitaa ya j.f usiku wa manane (wanajiita walinzi 😂), asubuhi, mchana na jioni anarandaa" pipo zina gubuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…