Rejao JF-Expert Member Joined May 4, 2010 Posts 9,219 Reaction score 4,087 Jul 8, 2011 #21 Ninacho kimaruti changu nimerithishwa, ni cha mwka 1989. Wese nikiweka full tank nasahau! Tatizo hakana AC
Ninacho kimaruti changu nimerithishwa, ni cha mwka 1989. Wese nikiweka full tank nasahau! Tatizo hakana AC
saitama_kein JF-Expert Member Joined Oct 29, 2009 Posts 981 Reaction score 100 Jul 9, 2011 #22 Safari_ni_Safari said: Ya kuanzia 2004 powa...ina BMW components Click to expand... Mkuu na wadao wengine, naomba ufafanuzi zaidi, ubora na matatizo yake, maana nimo kwenye harakati za kununua Freelander 2005.............
Safari_ni_Safari said: Ya kuanzia 2004 powa...ina BMW components Click to expand... Mkuu na wadao wengine, naomba ufafanuzi zaidi, ubora na matatizo yake, maana nimo kwenye harakati za kununua Freelander 2005.............
papason JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 5,119 Reaction score 5,710 Jul 9, 2011 #23 Duu mbona nadata kabisaa! ninunue gari gani sasa mbona yotee hayafai?
ndiuka JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 699 Reaction score 826 Jul 9, 2011 #24 nissan primera p11 hiyo iko vp?
HP1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2012 Posts 3,362 Reaction score 878 Sep 21, 2013 #25 Naomba ushauri kuhusu Nissan Terrano ya 2000, yenye 2950 CC