Uliza swali lolote kuhusu Radiology(Xrays, ultrasound) na Radiotherapy

anhaa hapo sawa....kipimo cha CT SCAN NA MRI KIKOJE
CT Scan kinatumia mfumo wa kompyuta pamoja na xrays,utofauti wake na digital xray yenyewe hutengeneza picha katika mfumo wa slices na huweza kutoa mpaka slices 256 kutegemea uwezo wa mashine na kwa ubora zaidi kuliko digital xrays

MRI hutumia strong magnetic field katika utengenezaji wa slices na slices zake huwa na ubora zaidi kuliko za CT scan na zinaweza tengenezwa katika mfumo wa video na badala ya kubeba film yenye majibu mgonjwa akapewa CD
 
Kuna dada alipima mimba kwa vile vipimo vya nyumban na majibu yalionyesha + lakini alipoenda kwa lengo la kupiga ultrasound hakumwambia daktari lengo kama ni kuangalia ukuaji wa mtoto

Cha ajabu kasema kaangaliwa mfumo wa uzazi na kuonekana yupo sawa lakini suala la mtoto huyo Doctor hakuligusia

Je katika upimaji wa mfumo wa uzazi ultrasound haiwez kudetect ukuaji wa mtoto na mama kuambiwa pia kuhusu ukuaji wa mtoto??

Au kuna types tofauti tofauti za ultrasound ambazo mteja anatakiwa kusema na ikiwa atachagua moja basi hyo moja haiwezi kuingilia nyingine??

Nawasilisha
 
Baada ya x-ray, unapoambiwa njoo uchukue majibu baada ya saa 24 ni kwamba technician hajui kutafsiri ile image anamsubiri mtaalam au?. Maana inawezekana vip x-ray itumie masaa 24 wakati readout inatoa majibu muda huohuo?
 
Soma vizuri swali ikiwezekana jikumbushe kwenye maandiko siyo dhambi binafsi nilitarajia majibu mazito sana kutoka kwako lakini naona kama majibu mepesi sana
Haya ndio matatizo ya vijana wengi wa siku hizi. Akili hakuna kabisa.

Unauliza swali ambalo una majibu yake ili kumtega mtoa mada uone kama anajua au hajui. Huu ni utaahira na ulimbukeni.

Ni watu wenye elimu za kuunga unga na washamba waliobahatika kwenda shule wa kwanza katika familia zao ndio wana tabia kama hizi.

Hovyo kabisa. Zero brain.
 
Baada ya x-ray, unapoambiwa njoo uchukue majibu baada ya saa 24 ni kwamba technician hajui kutafsiri ile image anamsubiri mtaalam au?. Maana inawezekana vip x-ray itumie masaa 24 wakati readout inatoa majibu muda huohuo?
Bt naongelea XRF katika environmental samples
 
Wakuu mtoto anachezea sna rimoti ya tv na redio.je hana.madhara huko mbeleni ,he has 6 months old.
 
Kuna dada alipima mimba kwa vile vipimo vya nyumban na majibu yalionyesha + lakini alipoenda kwa lengo la kupiga ultrasound hakumwambia daktari lengo kama ni kuangalia ukuaji wa mtoto

Cha ajabu kasema kaangaliwa mfumo wa uzazi na kuonekana yupo sawa lakini suala la mtoto huyo Doctor hakuligusia

Je katika upimaji wa mfumo wa uzazi ultrasound haiwez kudetect ukuaji wa mtoto na mama kuambiwa pia kuhusu ukuaji wa mtoto??

Au kuna types tofauti tofauti za ultrasound ambazo mteja anatakiwa kusema na ikiwa atachagua moja basi hyo moja haiwezi kuingilia nyingine??

Nawasilisha
Ultrasound ni kipimo ambacho tunakiita Controler dependant yani yule anaekufanyia kipimo ndio mtu muhimu zaidi kwenye uchunguzi skills na experience yake vinaeffect kubwa kwenye uchunguzi
Hivyo inawezekana hakufocus kuangalia uterus alifocus zaidi na ovaries na folapian tubes
 
Baada ya x-ray, unapoambiwa njoo uchukue majibu baada ya saa 24 ni kwamba technician hajui kutafsiri ile image anamsubiri mtaalam au?. Maana inawezekana vip x-ray itumie masaa 24 wakati readout inatoa majibu muda huohuo?
Kuna radiographer na kuna radiologist
Hata kama radiographer anaweza kusoma picha ya xray sheria haimruhusu kutoa report ya kipimo kilichofanyika kasoro kwenye ultrasound
 
So kwa nilivyoelewaa sanographer ndie ndie mtaalam wa kutumia mitambo na anayepiga hiyo utra sound, then anaandika alichokiona kwenye ultra sound image then Radiologist ndie anaandaa report ambayo inaenda kwa doctor ambae ameomba hiyo report,,, sasa kuna kitu kinanichanganya huyu Radiographer ni nani? na jukumu lake ni lipi kwenye ultra sound?? mkuu hebu naomba nifafanulie au kama kuna kitu nimekosea nifafanulie!!
 
Kuna Radiographer, Raiologist, Radiotherapist...

So kwa nilivyoelewaa sanographer ndie ndie mtaalam wa kutumia mitambo na anayepiga hiyo utra sound, then anaandika alichokiona kwenye ultra sound image then Radiologist ndie anaandaa report ambayo inaenda kwa doctor ambae ameomba hiyo report,,, sasa kuna kitu kinanichanganya huyu Radiographer ni nani? na jukumu lake ni lipi kwenye ultra sound?? mkuu hebu naomba nifafanulie au kama kuna kitu nimekosea nifafanulie!!
sorry for late reply....Radiographer ni mtaalamu wa xray na ultrasound,ikiwa radiographer ata specialize kwenye ultrasound ndio anaitwa sonographer
 
radiologist ni nani na anasomea nini kwa miaka mingapi?kama nataka kuwa radiologist inatakiwa nisome nn
 
Mkuu, ukipita kwenye hizo machines mfano x- rays na MRI, kwamaana ya kufanyiwa hivo vipimo, kuna vyakula labda unashauriwa kutumia ili kupunguza madhara yake. Majibu yake muhimu mkuu.
 
Back
Top Bottom