mwakimonya
Member
- Feb 21, 2017
- 11
- 14
hii ni special thread kwa mtu yoyote anae taka kujua chochote kuhusu chuo cha afya na sayansi shirikishi muhimbili
karibuni
karibuni
hapana hawatoi hyo course both institute na universityWanatoa course ya Clinical Medicine?
hii ni special thread kwa mtu yoyote anae taka kujua chochote kuhusu chuo cha afya na sayansi shirikishi muhimbili
karibuni
kuna hostel za aina mbiliVipi kuhusu accommodation hostel zake zipo maeneo gani. Bei ikoje na mazingira
una uzungumzia u superior katika namna gan ??Kwanini MD wanajiona wao ni superior wakati tukija mtaani tunawazidi hela?
Mkuu
, Kuna mdogo wangu aliomba muhimbili hapo diploma course ya afya
Jana asubuh katumiwa text inayomtaka atume majina kamili na form 4 index number,
Hili jambo una idea nalo mkuu?
Nikitaka kupata uhakika wa hili jambo nafanyaje?
Mana najaribu kuwapigia simu hawapokei!
Nipe idea kiongozi!
Shukran mkuu!Ni bora ukaenda chioni tu mwenyewe.