Uliza ajira uzimwe kama taa

Uliza ajira uzimwe kama taa

mtafiti05

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
956
Reaction score
594
Hivi kwa nn inapofkia swali la lini ajira kwa vijana WAHUSIKA wanajibu kwa siasa na kusema muda wwt kuanzia sasa? Kuna uhusiano na kwamba mwaka huu hawaajiri?

Hivi kuingia kwa ndege Mpya mbona wamesema kuwa ni 2018? Suala la ajira lenyewe halina muda mwafaka? Je suala la ajira halipo kwenye bajet? Kama lipo bajet yake imeelekezwa wap?

Suala la uhakiki halijaisha? Au ndo mwendo wakuvuta muda mpaka pale Feb 2017 kama ilivyosemwa na nkanga chief?

Mwenye uelewa na haya aseme chochote, kama huna pita kama huoni, ushauri wa kuwaambia vijana wajiajir kawashaur shulen sio humu,

Nawakilisha!
 
Kaisome Public Notes ya PSRS mjomba na uwe unasikiliza habari acha story facebook
 
Ajira siku mkuu akitekenywa vzr ndo atakumbka kama mpo mnaotaka ajira! Nkanga chief alisema Feb 2017 mkakanusha nakusema anachochea sasa kaani mkisubr sasa, Dec hii hapa ni mwez wa sikukuu tu na kufunga mwaka,

Hvi unaajiri MWL dec wakati wa likizo je afundishe majengo? Hii ni kuanzia January mwshoni au Feb! Watanzania hatjui kusoma basi tutumie pcha zilizopo ikiwemo uhakiki usoisha!

Loading..............Feb 2017! Inasomeka bado miez 2 bado sio mbaya sana maana 6 ni ming sana iliyopita, ng'ombe mzma kaisha bado mkia tu!
 
Hakuna ajira na sio kipaumbele cha serikali hii so usipoteze mda wako kufuatilia wapuuzi wanasiaasa kwa matamko yao.
 
Acha uongo public notice ipo ukifungua fb kwenye page ya Utumishi ipo
 
AJIRA MPAKA MWEZI WA SABA MWAKA MPYA WA SIRIKALI.
 
Back
Top Bottom