Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Katika safari ya maisha mengi hutokea kwa vijana wengi ikiwemo swala la kupata watoto mapema zaidi kutokana na mabadiliko ya tabia mwili na vile tunatofautiana viwango vya mihemuko ya ujana.
Kimsingi mtoto ni baraka,faraja, malaika, ndugu, damu na alama isiofutika katika jamii na hutumika kama kitambulisho cha jinsi kamili.
Swala liliopo ni kuwa mara nyingi watu waliotuzalia watoto ujanani ni nadra kukuta ukiwa mtu mzima unaweza kuoa tena maana ni kama connection ya kihisia inakuwa haipo tena tokana na mambo kubadilika ama mazingira. Japo watu wengi huficha ila sidhani kama ni busara kuficha lolote kwa mtu wako maana ukweli hukuweka huru siku zote.
Ishu za kujadili:
1.Ni vipi utaweza ama uliweza kumwambia mchumba wako wa sasa ambae unatarajia kuoa kwamba una mtoto wa ujanani?
2.Je, mnadhani wakati sahihi wa kulisema hilo ni kabla au baada ya kuoa?
3.Wanawake mliokutana na situation hii je mlichukuliaje hilo swala na iliwaathiri kwa namna gani?
NB: Mtoto wa ujanani sio wa baada ya kuoa mke. Ni wa enzi za friendly matches on your teen ages. 13-19 hapo!
Kimsingi mtoto ni baraka,faraja, malaika, ndugu, damu na alama isiofutika katika jamii na hutumika kama kitambulisho cha jinsi kamili.
Swala liliopo ni kuwa mara nyingi watu waliotuzalia watoto ujanani ni nadra kukuta ukiwa mtu mzima unaweza kuoa tena maana ni kama connection ya kihisia inakuwa haipo tena tokana na mambo kubadilika ama mazingira. Japo watu wengi huficha ila sidhani kama ni busara kuficha lolote kwa mtu wako maana ukweli hukuweka huru siku zote.
Ishu za kujadili:
1.Ni vipi utaweza ama uliweza kumwambia mchumba wako wa sasa ambae unatarajia kuoa kwamba una mtoto wa ujanani?
2.Je, mnadhani wakati sahihi wa kulisema hilo ni kabla au baada ya kuoa?
3.Wanawake mliokutana na situation hii je mlichukuliaje hilo swala na iliwaathiri kwa namna gani?
NB: Mtoto wa ujanani sio wa baada ya kuoa mke. Ni wa enzi za friendly matches on your teen ages. 13-19 hapo!