Uliwezaje kudili na mwanamke aliyekuweka 'pending'?

Uliwezaje kudili na mwanamke aliyekuweka 'pending'?

Status
Not open for further replies.

mimi mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2019
Posts
331
Reaction score
707
Wanaume uwa tunakutana na aina hii ya wanawake.

Unamtongoza lakini asemi Hapana wala asemi Ndio. Mnawasiliana vizuri pengine unaweza dhani soon unakula tunda. Lakini upewi chochote. Sometimes unaamua kumpotezea ila yeye bado anatengeneza mazingira mawasiliano yasife.

Kuna wengine anakua anaomba hela ila mwingine hataki chochote toka kwako. Ukimuita baby wala haimsumbui ila mzigo hatoi.

Wanawake wa hivi mnadili nao vipi?
 
Wanaume uwa tunakutana na aina hii ya wanawake.

Unamtongoza lakini asemi Hapana wala asemi Ndio.

Mnawasiliana vizuri pengine unaweza dhani soon unakula tunda. Lakini upewi chochote.

Sometimes unaamua kumpotezea ila yeye bado anatengeneza mazingira mawasiliano yasife.

Kuna wengine anakua anaomba hela ila mwingine hataki chochote toka kwako.

Ukimuita baby wala haimsumbui ila mzigo hatoi.

Wanawake wa hivi mnadili nao vipi?
Muite mahali tulivu kamata mkono weka ndani kula mzigo
 
Mzee baba wewe kiufupi umekua fried zoned kutoka hapo yahitaji juhudi na bidii ili uweze kukitia kidubwasha chake. Principal ni ile ile mu invite somewhere mbali na hapo mlipo na iwe ni trip ya kwenda kulala au itachukua muda mwingi na ni sehem tulivu na mkiwa huko umtreate Kama mkeo full kumkumbatia kumshika Mikono ....na kumganda Ganda ....akiku uliza kwa Nini mbali mwambie naheshimu mapenzi yako sitaki nikuhatibie CV yako nk.

Kwa kuwa mpo mbali lazima utamkula tu labda wewe ndio unamapungufu Kama vile una uoga yaani hauna confidence ...ukiwa nae unatoa kile kisauti Cha uoga badala ya kukaza sauti .

Mengine kagugo
 
Tafuta pesa tafuta pisi kali kushinda yeye kula maisha na ajue unakula maisha kwel

Uone kama hataanza kujichekesha chekesha
 
Friend zone hiyo sema dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake
hapo tafuta pisi yeyote ili umuonyeshe thamani yako
Huyo anakufanyia hivyo kwa sababu anajua hupo single
 
Mkuu kata mawasiliano, yupo mmoja aliwakua ananitumia hatoi mzigo wala nini anataka date out na mengineyo.

Nika piga chini last year kaanza nitafuta tunachart fresh ila me sitoi room ya kuonana, juzi kasema angetamani nimuoe mimi nikwambia bado nakula ujana wangu.

Ukweli nilimpendq na sasa sitaki mpa time. Ila ntamtom kuweka heshima kidogo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom