Ulitumia mbinu gani kumpata mpenzi wako?

Bob12

JF-Expert Member
Feb 27, 2017
11,422
58,787
Habari wakuu

Tukumbushane kidogo vijimbinu tulivotumia kupata wapenzi tulio nao,ikibidi na sehemu uliyomuona siku ya kwanza.

Mimi wa kwangu nili..... A level
 
mapenzi mengine yalianza kwa dame kusema eti " baba kasema nirudi kwa yule aliyenipa hii mimba kwake hanitaki
 
Nilifungua waleti akaona dollari na wakina wilimboka wa kutosha yeye mwenyewe akasogea kwa meza. Nilipobakiza wilimboka wachache kwa wallet nikaona sio vema kuendelea naye nikarudi zangu mabibo mwisho
 
Nilifungua waleti akaona dollari na wakina wilimboka wa kutosha yeye mwenyewe akasogea kwa meza. Nilipobakiza wilimboka wachache kwa wallet nikaona sio vema kuendelea naye nikarudi zangu mabibo mwisho
Duu
 
Back
Top Bottom