Ulishawahi ona barabara inapigwa deli?

Ulishawahi ona barabara inapigwa deli?

kichomiz

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
20,258
Reaction score
13,265
Watu wamepiga deki barabara ili muheshimiwa Rais apite
 

Attachments

  • IMG-20150816-WA0012.jpg
    IMG-20150816-WA0012.jpg
    54.5 KB · Views: 1,484
Kweli Mwanza wamempokea vizuri sana Lowasa
 
Walisema Obama alisuguliwa barabara sisi tutakudekia kabisa😁😁😂😂😂😄😄
 
ukimfukuzia mwendawazzimu unamtupia na makopo yake
 
Mwanza nouma wacha kabisa hawataki tena masihara big up.....
 
Mara nyingi tu nimeshaona kwa magari maalum ila sio kama hao.

Siasa yetu hii
 
Mara nyingi tu nimeshaona kwa magari maalum ila sio kama hao.

Siasa yetu hii

Acha kudanganya watu hakuna magari maarumu yanayopiga deki labda kama hujaelewa mana ya kupiga deki
 

Kwa gari hilo hilo nikaenda kumwa maji kwenye mchanga ni kupiga deki huko hilo si deki up utaratibu upon nchi nyingi kwa wenzetu hasa nyakati za kiangazi lakini si deki hilo labda nkuulize mana ya kupiga deki ndio mana nikakwambia labda kama huelewi maana ya kupiga deki
 
Kwa gari hilo hilo nikaenda kumwa maji kwenye mchanga ni kupiga deki huko hilo si deki up utaratibu upon nchi nyingi kwa wenzetu hasa nyakati za kiangazi lakini si deki hilo labda nkuulize mana ya kupiga deki ndio mana nikakwambia labda kama huelewi maana ya kupiga deki
Huna mpya kama vipi kaa kimya.

Sio unakurupuka
 
Hapo ni residence we been talkin of barabaran kaka vip hayo mengine yana wet sio mopping the road
Nimekuonesha moja ya gari inayofanya shughuli hizo.

Hata kama ingekuwa imeegeshwa chumbani.

Upo?
 
Back
Top Bottom