My 1st addiction...kusoma bible..,na pili napenda kuskiza music especially gospel music...all day long.....kuna kipindi nilikuwa addicted kumsikilza mchungaji mmoja anaitwa Myles Munroe......
Ni jamaa mmoja yuko vzr sanaa
Mimi mpaka sahivi nipo addicted na video games nikijifungia kucheza Ps3 huwa nasahau kula na ninaweza nikakesha nacheza tu nashindwa kuacha sababu nayapenda mno
jaman mie unavyoongea hvyo ni mume wangu !jaman sipend mwanaume aliyetumbukia kwenye janga la mpira !!!!!!hamnaga ya kufikiri mengine zaid ya kuangalia mpira ! nakereka sana jaman !dah yeye anaitwaga shevishenko kbs !arghh
BIG NO bora nivute bangi kuliko hii kitu,ilikua namwambia hapo nitaenda shule ya mapishi,nikafundwe kwasababu anadai kila nikipike lazima niunguze hahahahaaa! au nitakuja kwa MBITIYAZA unifundee shost...
jaman mie unavyoongea hvyo ni mume wangu !jaman sipend mwanaume aliyetumbukia kwenye janga la mpira !!!!!!hamnaga ya kufikiri mengine zaid ya kuangalia mpira ! nakereka sana jaman !dah yeye anaitwaga shevishenko kbs !arghh
BIG NO bora nivute bangi kuliko hii kitu,ilikua namwambia hapo nitaenda shule ya mapishi,nikafundwe kwasababu anadai kila nikipike lazima niunguze hahahahaaa! au nitakuja kwa MBITIYAZA unifundee shost...