kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 13,965
- 26,160
Wakuu kwema?
Ebana nilikuaga naskia tu watu wakilalamika kuchafukwa na matumbo wawapo safarini.
Sasa me yamenikuta last week nikiwa safarini toka mkoa fulani wa Kanda ya Ziwa kuja Dar, yani ilinibidi nishukie Singida ili kuepuka ile aibu ya kuwasumbua makondakta kwenda kuchimba dawa kila dakika.
Sitasahau ile siku asee niliharisha mpaka nikahisi utumbo nao umetoka , shukrani za pekee ziwaendee wale traffic police wa pale stand ya mkoa wa Singida kwa msaada walionipa na pia madaktari wa hospital ya mkoa wa Singida kwa kunipa huduma stahiki kwa wakati.
Kuna aliewahi kupata mkasa kama huu?
Ebana nilikuaga naskia tu watu wakilalamika kuchafukwa na matumbo wawapo safarini.
Sasa me yamenikuta last week nikiwa safarini toka mkoa fulani wa Kanda ya Ziwa kuja Dar, yani ilinibidi nishukie Singida ili kuepuka ile aibu ya kuwasumbua makondakta kwenda kuchimba dawa kila dakika.
Sitasahau ile siku asee niliharisha mpaka nikahisi utumbo nao umetoka , shukrani za pekee ziwaendee wale traffic police wa pale stand ya mkoa wa Singida kwa msaada walionipa na pia madaktari wa hospital ya mkoa wa Singida kwa kunipa huduma stahiki kwa wakati.
Kuna aliewahi kupata mkasa kama huu?