Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,242
- 1,996
Asee mkuu uko wapi.....nikufate..Yani namshukuru sana mama angu alinifunza kujitegemea tangu ningali kinda...! Sijawahi kupigia mahesabu hela iliyopo mfukoni mwa mtoto wa mwanamke mwenzangu kabisa, mpaka ananiweka na vikao napata wapi ukitaka nipe usiponipa siombi hata iweje....