Nilikosea sana kuisoma mda wa lunch, hatari sana hii!
 
daah mzee..na hizi mvua huku mkoa..huu uzi daah
 
We mpuuuzi
najiona Mimi kabisa .....una akili mingi Sana aaaaa ....yaaani unacheza michezo Hadi wife akija kugundua anabaki anacheka tu ni jinsi gani kidume chake ulivyo na akili. Mwanangu popote ulipo ukinunua kinywaji nyanyua tu juu ishara ya cheazi maana kinafsi tutakua tumegonga cheaz maana we look familiar
 
Watu mnashangaza Sana!!

Ndani ya miezi 6 nimetafuna madem 6 tofauti Tena kavu kavu na sina hata chembe ya kuwaza!!

Haya, ukiwaza ndo utabadili nini?
Haya unekutwa nao ndo utautibu???

Mawazo yako ndo kifo chako!!
Sawa mkubwa ngoja nitulie nichape kazi umesomeka..
 
Kuna jirani yangu ameamia karibuni kwenye nyumba yake sasa yule jiran ana mdogo ake ameliza kidato cha sita lakini hajafanya vizuri mtihani wake wa mwisho hivyo hajaenda chuo kikuu .Naona anamazoea sana na mimi Nyumba yao ina vioo usiku ananichungulia kwenye dilisha lao maan home hakuna fance namlia dolia nimle hata jina lake silijui ntakuja kuleta mrejesho week hii.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Daah baada ya story yangu ya kawaida tu kushtua na kuandamwa na watu ntaendelea kusoma comment na visa conki ntabak navyo kama siri
 

Nimesimamisha halafu niko Kazini Aiseee...
Kapita Dada mmoja ana Mahips huyoo akaniuliza Kaka Vipi???
Nilikuwa ninesimama sehemu ya Mbele kwenye mashine nimeelekezea Kwenye Desk watu wasione imesimama...
Nikamwambia Safiii....
Jamani Mashine imesimama itabidi nitafute Mdada wa JF tutafunane Somedays to come asiee
 
taratibu aisee
 
Mimi sio mtaalamu wa afya ila kwa elimu ya hivi vipimo niliyopewa ni kuwa kipimo kinatoa majibu sahihi ndani ya dakika 15-20 baada ya hapo kuna fragments nyingi zinazoweza kubadili kipimo....sababu mara nyingi kinakuwa exposed to thin air ambayo haiko pure (hatuwezi kuona kwa macho)...components hizi zinaweza kubadili kipimo baada ya dakika 20 za majibu sahihi...Ila kama bado una mashaka kapime tena baada ya mwezi mmoja kisha baada ya miezi mitatu.
 
U
Ulimpaula usiku mzima au sio😅
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…