Ulishawahi kukutana na mtu mwenye ugonjwa wa Low Latent Inhibition: Fahamu ugonjwa wa Low latent inhibition

Kweli!
 
Kuna uwezekano huu ugonjwa nao ukawa na categories zake, kuna ambao unakua acute na unapona kutokana na kuongezeka kwa majukumu, wengine unakua chronic na hauponi. I used to be curious and creative back in days, siku hizi naacha maisha yasogee
 
Reactions: T11
mfano wapelelezi wengi wanatakiwa kuwa hivi.
kabla hajaanza kuulizia baadhi ya detail kuhusu kitu fulani tayari ameisha chunguza ni kitu fulani kwa uchache.

WWWW.hiyo w ya kwanza inasimama na WHY.
 
mfano wapelelezi wengi wanatakiwa kuwa hivi.
kabla hajaanza kuulizia baadhi ya detail kuhusu kitu fulani tayari ameisha chunguza ni kitu fulani kwa uchache.

WWWW.hiyo w ya kwanza inasimama na WHY.
Kuna somo nilisomaga 4yrs back ilikua inadili na maswali ya WH questions jinsi ya kuyajibu na kuyauliza..Ukimasta hako kasomo unajiona ushakua detective kabisa
 
Umenikumbusha mbali Sana na ningekuwa nimepata hili desa psychology ningepata 100 kipindi hicho napiga BA yangu pale Udsm, big up I appreciate ur thread!
 
Umenikumbusha mbali Sana na ningekuwa nimepata hili desa psychology ningepata 100 kipindi hicho napiga BA yangu pale Udsm, big up I appreciate ur thread!
Lakini si ulifanikiwa kumaliza desa lako kwa Gpa za juu
 
Kuna somo nilisomaga 4yrs back ilikua inadili na maswali ya WH questions jinsi ya kuyajibu na kuyauliza..Ukimasta hako kasomo unajiona ushakua detective kabisa
Bila shaka Hilo somo ni communication in art katika University of Dar Es Salaam
 
Mara ya kwanza nilifanyia reseach hii kitu ni 2007 niliikutana na LLI kwenye PB pale Sara alipoenda kumuuliza doctor/ mwalimu wa Michael kuhusu Michael ndio akawa anamweleza kuhusu Michael na LLI...

Nondo safi kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…