Ulishawahi kukutana na mtu mwenye ugonjwa wa Low Latent Inhibition: Fahamu ugonjwa wa Low latent inhibition

LLI, I see myself in it. Wakati nasoma chuo nilikuwa siendi class najisomea tuu mwenyewe nafaulunikawa naitwa Dada wa Msuli yatima.

These days I'm working somewhere naona watu wanajitenga nami wanahisi mimi TISS maana nothing passed unturned and I know alot things and I notice them ASAP.

But all in all, I like what I'm. Thanks for knowledge, elimu haina mwisho.

Last week akaja mtu anafunga router, nikawa nimetulia sana namuangalia kumbe wenzangu wananicheki.
Sasa kamaliza connection naona watu wanacheka, nauliza vipi wakasema tunakuona ulikuwa darasani unasomalipa na ada ya mafunzo sasa...nikacheka sana.
 
LLI, I see myself in it. Wakati nasoma chuo nilikuwa siendi class najisomea tuu mwenyewe nafaulunikawa naitwa Dada wa Msuli yatima.

These days I'm working somewhere naona watu wanajitenga nami wanahisi mimi TISS maana nothing passed unturned and I know alot things and I notice them ASAP.

But all in all, I like what I'm. Thanks for knowledge, elimu haina mwisho.

Last week akaja mtu anafunga router, nikawa nimetulia sana namuangalia kumbe wenzangu wananicheki.
Sasa kamaliza connection naona watu wanacheka, nauliza vipi wakasema tunakuona ulikuwa darasani unasomalipa na ada ya mafunzo sasa...nikacheka sana.
Hongera sana upande huo Wanawake mpo vizuri sema hua mnajipuuza.
Kabla hatijaendelea Naomba kujua Amazon woman ni nini na kwanini Amazon woman.???(Najua nachokuuliza nataka tu kujua kama unajua ninachokijua)
 
Hongera sana upande huo Wanawake mpo vizuri sema hua mnajipuuza.
Kabla hatijaendelea Naomba kujua Amazon woman ni nini na kwanini Amazon woman.???(Najua nachokuuliza nataka tu kujua kama unajua ninachokijua)
Amazon woman is a healthy strong woman and powerful. The name I got it from Greeks mythology, these were war warriors fight like men, the spirit and so and so..

I chose this because it portrays some of my characters. Leave aside the lesbianism they had and culture ya kukata maziwa (breasts) Tell me more about it!!
 
Amazon woman is a healthy strong woman and powerful. The name I got it from Greeks mythology, these were war warriors fight like men, the spirit and so and so..

I chose this because it portrays some of my characters. Leave aside the lesbianism they had and culture ya kukata maziwa (breasts) Tell me more about it!!
I'm writing something about them..
Amazonian
 
LLI, I see myself in it. Wakati nasoma chuo nilikuwa siendi class najisomea tuu mwenyewe nafaulunikawa naitwa Dada wa Msuli yatima.

These days I'm working somewhere naona watu wanajitenga nami wanahisi mimi TISS maana nothing passed unturned and I know alot things and I notice them ASAP.

But all in all, I like what I'm. Thanks for knowledge, elimu haina mwisho.

Last week akaja mtu anafunga router, nikawa nimetulia sana namuangalia kumbe wenzangu wananicheki.
Sasa kamaliza connection naona watu wanacheka, nauliza vipi wakasema tunakuona ulikuwa darasani unasomalipa na ada ya mafunzo sasa...nikacheka sana.
Haya bana.
 
Kuna uwezekano huu ugonjwa nao ukawa na categories zake, kuna ambao unakua acute na unapona kutokana na kuongezeka kwa majukumu, wengine unakua chronic na hauponi. I used to be curious and creative back in days, siku hizi naacha maisha yasogee
CCM ndio wamekusababishia hayo yote .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mada inafanywa na watunyeti sana katik kuset mind zao kutokan na majukumu yao,

Kuna mafunzo ambayo yanawez kubadlsh akili yako ikawa hvyo ,

Hii LLI hutumiw na mapo**c lakn hawapo smart hasa hap

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo mada inafanywa na watunyeti sana katik kuset mind zao kutokan na majukumu yao,

Kuna mafunzo ambayo yanawez kubadlsh akili yako ikawa hvyo ,

Hii LLI hutumiw na mapo**c lakn hawapo smart hasa hap

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Mkuu ungefafanua vyema kiasi maana sijakupata vyema
 
View attachment 1546592View attachment 1546113
Mates,
Wakati wengi tukiwa tunajua kwaba ubongo wa mwanadamu umegawanyika sehemu tatu ambazo ni ubongo wa mbele,katikati na nyuma tu, kuna wataalamu wa masuala ya akili (Neuorologist) na wataalamu wa masuala ya ufanyaji kazi wa akili (psychologist) wamekua wakiamini/waki-Ague kwamba ubongo wa mwanadamu umegawanika katika hemisphere (pande) ambazo ni kushoto na kulia. Hivyo basi wanaamini kwamba mtu anaweza kuwa mtumiaji wa ubongo wa kushoto (left- brain) au mtumiaji wa ubongo wa kulia (right- brain)
Waumini wa dhana hii ya left-brained na right-brained wanaamini kwamba upande mmoja wa ubongo unaweza kuwa dominant kwenye upande mwingine wa ubongo, utamgundua mtu ni right au left brained kwa kutizama Tabia,mawazo na personalitiy ya mtu husika.Lakini pia wanasema kwamba pande hizo mbili za ubongo kila moja ina kazi yake tofauti na upande mwingine.

Ubongo wa kushoto.

Wanasema kwamba ubongo wa kushoto hua unajishughulisha zaidi na maswala ya Mantiki (Logical), pia wanasema kwamba watu wanatumia ubongo wa upande wa kushoto hua vizuri zaidi katika masuala ya mchanganuo(analytical), mahesabu, wanapenda zaidi kuatumia ukweli na uhakika,wanapenda kufikiria zaidi kwa maneno.

Ubongo wa kulia.

Wanasema kwamba ubongo wa kulia hua unajishughulisha na masuala ya ubunifu zaidi (creativity), ni watu wanaofikiria kwa upana zaidi, hua ni wanaofikiria bila kufungwa sehemu moja (critical and free thinker), hua hawaishii kufikiria bali kutenda kile walichokifikiria na hupenda kusimamia kile wanachokiamini kua ni kweli (intuitive)…..Toka miaka ya 1960 wataalamu hao wamekua wakifanya tafiti kuhusu dhana hizi lakini bado haizijapokelewa officially lakini bado tafiti zinafanyika tutaona huko mbeleni labda ikawa accepted officially hasa wataalamu wakifanikisha kuunganisha (embing) ubongo wa mwanadamu na Artificial intelligence.

LOW LATENT INHIBITION (LLI)

Mates kwa jinsi ninavyoelewa mimi neno stimulus kwa mujibu wa topic ya Co-ordination tafsiri yake kwa lugha ya Kiswahili ni kichochezi (vi). Mwaka 1897 mwanasaikolojisti Ivan Pavlov kutoka urusi alichapisha tafiti yake aliyekamilisha kuifanya inayohusu Classical conditioning…. Classical Conditioning ni hali ambayo hutokea pindi Vichochezi visivyo vya hiari (conditioning stimulus-CS) vinapoungana na vichochezi vya hiari (Unnconditional Stimulus-US). Pindi vichochezi hizi vinapotenganishwa kiumbe akina kichochezi kimojawapo basi anaanza kurespond kama kaona vichochezi viwil

Mfano 1.
Tuchukulie mfuga mbwa ni kichochezi CS na chakula cha mbwa ni kichochezi US, hivyo pindi mfuga mbwa akija na chakula mbwa ataona vichochezi viwili vimeungana kisha ataanza kurespond kwa kutoa mate au kuunguruma ili kuashiria kwamba anaenda kupata chakula, hali ikiwa hivyo kwa muda mrefu kuna siku atakua akimuona mfuga mbwa tu basi anaanza kutoa mate maana anajua anenda kupata chakula. Hali hiyo ndio Classical condition

Mfano 2. Kama wanafaunzi walishazoea kengele hua inalia ikishalia wanajua ni muda wa kupata chakula, hivyo basi hali ikiwa hivyo kwa muda mrefu wanafunzi watakua wakisikia kengele wanarespond kua wanaenda kupata chakula maana vichochezi viwili ambavyo ni chakula na kengele vimeungana, hata kama siku chakula kikiwa hakuna wakisikia kengele watashindwa ku-concertrate na kengele bali chakula. Natumai tumeelewana.

Sasa basi ndani ya hii Classic conditioning kuna kitu kinaitwa Low Latent Condition, kwa mliowahi kuangalia series ya Prison Break mtakumbuka kwamba Michael Scolfied alikua anasumbuliwa na ugonjwa (?) huu wa kiakili unaoitwa Low latent Inhibition, ugonjwa huu ndio ulipelekee Michael kua Smartest and Intelligent character in series history.

LLI inafanyeje kazi?

Schizophrenia ni ugonjwa wa kiakili ambao unamfanya mtu kuelewa/kutafsiri matukio kinyume na vile yalivyo, hivyo Low latent inhibition inahusuiana na Schizophrenia. Mtu mwenye Low Latent Inhibition hua anarespond kwenye stimuli/vichochezi za zamani au anavyovifahamu kama anavyorespond kwenye Vichochezi ambavyo ni vipya. Nikimaanisha kwamba mtu mwenye LLI akiona kitu ambacho ni kigeni ataanza kujiuliza kitu hichi ni kitu gani, kinafanyeje kazi, kwanini ni kipo hapa na maswali mengine kibao. Kutokana na maswali hayo mtu anajiuliza yatapelekea akifahamu kitu hicho kwa undani zaidi. Lakini pia siku akikiona kile kitu kwa mara ya pili hua anajiuliza tena maswali yaleyale juu ya kile kile kitu anachokifahamau na atahakikisha mpaka kapata majibu. So naweza kusema kwamba wakati wewe mtu wa kawaida unaona taa liko hapo juu linawaka basi mtu wa mwenye Low Latent Inhibition atazama ndani zaidi na kutaka kujua yaliyomo ndani ya taa hadi lipo hapo linawaka.

Kwa upande wangu LLI hua naiita kama Curiousity, kuna watu wengine humu wakiona ID imeposti kitu humu wataishia kusoma na kuondoka lakini kuna wengine hawataishia hapo watataka kujua ID hiyo ni ya nani na kwanini iposti mada hii, hivyo wataanza kupekua id hiyo. Mtu mwenye LLI hua haridhiki na kile anachokiona maana akili yake haiwezi kutafsiri kawaida vichochezi vilivyoko mbele yake, kiwe ni kichochezi kipya au cha zamani ambacho mtu anakifahamu..

Mfano.
Unaweza ukawa una tisheti mbili zainazofanana kila kitu, mtu mwenye LLI na asiye na LLI wakiona tisheti ya kwanza watarespond kama new stimulus (kichochezi kipya kwao) hivyo watakagua details zote juu ya hiyo tisheti. Siku nyingine ukiwa umevaa tisheti ya pili ukakuta na watu hao Yule asiye na LLI ataichukulia kwamba hicho ni kichochezi cha zamani (shati la kwanza) hivyo hatojishughulisha kujua details za tisheti hilo. Lakini Yule mwenye LLI akiona hiyo tisheti ya pili akili yake haitachukulia kama kama kichochezi cha zamani bali ataichukulia kama kichochezi kipya (tisheti la zamani) hivyo atachunguza kila details anazotaka kujua kuhusu tisheti hilo. Mwisho anaweza kugundua detail zingine ambazo hazipo kwenye shati la kwanza ambae Yule mtu asiye na LLI hakuzigundua
Kutokana na ugonjwa huu inaswemakana ndio kulifanya tupate watu ambao wamefanya dunia yetu kupiga hatua mpaka hapa ilipo, maana kila tafiti ya kisayansi hua inaanza na neno WHY? Na swali why ndio msingi wa watu wenye ugonjwa wa LLI.

Autodidactism

Autodidact ni neno linalotumiwa kuwaelezea watu wenye uwezo wa kujifunza vitu wa pekee yao (self-taught), kuna watu wamejaliwa kipaji hichi cha kujifunza wao pekee yao. Watu hawa hua hawahitaji mwalimu awasimamie au kuwafunza vitu ili waelewe bali wanachohitaji ni kujua is where to find right material for them to read…Watu hawa ukilazimisha wafundishwe na mwalimu kamwe hawawezi kuelewa, wataishia kufeli tu.

Mara nyingi watu wenye low latent Inhibition ndio hua na hali hii pia ya Autodidactism, wanasayansi wengi hawakupita vyuoni bali walitumia LLI yao kujifunza vitu na kugundua mambo mengi mapya..!

Baadhi ya watu maarufu ambao walikua ni autodidact ni galileo, Da vinci, Euclid, Socrates, Plato, Pythogras, nk.. zaidi unaweza kutizama orodha hapa..

List of autodidacts - Wikipedia.
NB. Usichanganye LLI na Umbea

~Vinci
el maestro..
Classical condition & unclassical condition ni pure psychology Kuna Skimmers na jaribio lake la panya alipomfungia kengele ndani ya Banda na switch panya wakafundishwa namna ya kibonyeza switch ya umeme na chakula kumwagika pale walipohisi njaa walikuwa wakijibonyezea switch yenye kengele mara kengele ikilia na chakula kilimwagika na wao kukimbilia kukila chakula but all in all 1st degree yangu ya psychology ilinifanya kuacha ukorofi mpaka ndg na jamaa walinishangaa maana nacheza na akili za watu siumizi kichwa kuwa mtata sijui majungu siwezi muda mwingi nawaza kuwa creative na innovative hongera kwao scholars wa hii fani
 
Back
Top Bottom